Nimechaguliwa kusoma Automobile engineering ila sikuiweka kwenye machaguo yangu

Mkuu Twende skull Me nilisoma diploma kweny kitivo cha umeme lkn Nimechaguliwa Automobile Engineering, Sina Shaka nayo twende skull mkuu
Poa bro tutaonana huko now ntaenda kusoma willingly kabisa
 
Waajiri wa automobile engineers kwa hapa bongo ni wapi? Au wapi unaweza fanya kazi as an automobile engineer kwa hapa bongo
kuna brother angu yupo show room ya Mercedes-Benz analipwa dollar 2000/month.. soma iyo kitu wenzio tunaililia we aya tu
 
Nashukur wanajf kwa msaada wenu,nilikua stressed sana asee!!
 
Umemaliza Mkuu asipokuelewa leo hatokuelewa tena
 
Sasa si bora ningeenda veta tu nilipomaliz form4,yani mtu una degree mkuu then uende kufanya kazi pamoja na artisans wa veta.Sasa si itakua nimepoteza muda bure au si bora tu niingie veta sa hv kuliko kwenda kupoteza miaka 4 kizembe
Mfano umefanya MD au BAF ile uwe Dr au mhasibu nani anafanya hizo kazi?,jibu unafanya mwenyewe katika level yako,kuwa na degree ya Automobile sio lazima ushike supana,unakua una vijana chini yako unawaelekeza/simamia kwa kuwa wewe unauelewa mpana juu ya hayo mambo
 
Sasa si bora ningeenda veta tu nilipomaliz form4,yani mtu una degree mkuu then uende kufanya kazi pamoja na artisans wa veta.Sasa si itakua nimepoteza muda bure au si bora tu niingie veta sa hv kuliko kwenda kupoteza miaka 4 kizembe
Una kasumba. Tatizo umri
 
Vipi mkuu ushahitimu hapo NIT,na tupe mrejesho baada ya kumaliza chuo ..michongo vipi?
 
Vipi mkuu ushahitimu hapo NIT,na tupe mrejesho baada ya kumaliza chuo ..michongo vipi?

Mm n muhitimu ie Automobile Engineer. N course Nzur sana, Kwenye suala la michongo commitment zako tuh ila am really enjoying my professional. Huwez kufikiria kuajiriwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…