Funny boe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 865
- 1,219
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale, ufaulu wake, n.k
Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi Dar
Combination nimechaguliwa kusoma PCM
Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu
Funny boe
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale, ufaulu wake, n.k
Natokea mikoani na itakuwa mara yangu ya kwanza kuishi Dar
Combination nimechaguliwa kusoma PCM
Natanguliza shukurani
Karibuni wajibu
Funny boe