Richard Elibarick
Member
- Apr 26, 2016
- 54
- 7
Jamani nimechaguliwa na NACTE diploma ya medical lab Kampala University (KIU). Nimeskia eti kilikuwa na matatizo.
Je yameisha?
Je yameisha?
Hawana hospitali lakini wanachukuwa wanafunzi kibao kuanzia certificate hadi PhD! Wote hao***** ulishapigwa kitu umekalia umbaya humu hapa town
pole ya nin sasaHongera na pole saaaana
Waombe wakuamishie KCMC hapo sijui kwa kweli uliomba au ulipangiwa bila kuomba na kama uliomba hapo kwanini kabla ya kuomba ukuja kutuomba Ushauri.Jamani nimechaguliwa na NACTE diploma ya medical lab Kampala University (KIU). Nimeskia eti kilikuwa na matatizo.
Je yameisha?
Jamani nimechaguliwa na NACTE diploma ya medical lab Kampala University (KIU). Nimeskia eti kilikuwa na matatizo.
Je yameisha?
Umeshayavulia nguo yakupasa tu kuyaoga nduguJamani nimechaguliwa na NACTE diploma ya medical lab Kampala University (KIU). Nimeskia eti kilikuwa na matatizo.
Je yameisha?