Nimechagukiwa kusoma education ila sikupenda kusoma hiyo kitu, nilihitaji human resorce

kuuuu

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
590
506
jamn naamini mko powa na wenye kujisikia vibaya kiafya MUNGU awape wepes,, jaman mmm nimechaguliwa mkwawa univst,,kusoma education ila sikupenda kusoma hiyo kitu nilihitaj human resorc,, na hapa chuon hawana hii course,, so nafanyaje ili nisome ninachokihitaji msaada tafadhal....na chuo gani kizur na njia gani itumike kuhama hapa,, nimejarib kuombq naambiwa niandike barua halafu nisubili majibu huku nikiendelea kusoma daa yani sina poz!!nifanyeje jaman...?..
 
jamn naamini mko powa na wenye kujisikia vibaya kiafya MUNGU awape wepes,, jaman mmm nimechaguliwa mkwawa univst,,kusoma education ila sikupenda kusoma hiyo kitu nilihitaj human resorc,, na hapa chuon hawana hii course,, so nafanyaje ili nisome ninachokihitaji msaada tafadhal....na chuo gani kizur na njia gani itumike kuhama hapa,, nimejarib kuombq naambiwa niandike barua halafu nisubili majibu huku nikiendelea kusoma daa yani sina poz!!nifanyeje jaman...?..
Huko Shuleni kwenu mumefundishwa huu uandishi? Ndalichako ana kazi. Hebu hariri bandiko lako, msomi unatia aibu.
 
Huko Shuleni kwenu mumefundishwa huu uandishi? Ndalichako ana kazi. Hebu hariri bandiko lako, msomi unatia aibu.
ujinga haufanan mkuu! we kama unajua chcte nisaidie au kaa pemben wengne watanisaidia..
 
Mkuu Andika barua yakuhama program moja kwenda nyingine then usubiri mwezi wa 12 tarh 16 ila unabidi kuwa mvumilivu.
wakat huo nasoma au?,au nilitaman nipige chin niombe upya mwaka kesho au ntafeil mkuu,,, yani sielew kabisa daa!!
 
Mkuu Andika barua yakuhama program moja kwenda nyingine then usubiri mwezi wa 12 tarh 16 ila unabidi kuwa mvumilivu.
wakat huo nasoma au?,au nilitaman nipige chin niombe upya mwaka kesho au ntafeil mkuu,,, yani sielew kabisa daa!!
 
wakat huo nasoma au?,au nilitaman nipige chin niombe upya mwaka kesho au ntafeil mkuu,,, yani sielew kabisa daa!!
Human Resources ni tamu sana kuisoma coz' niliisoma as a unit... haiboi hata chembe!!

Hata hivyo, nimekuwa nikijiuliza ikiwa hii kozi ni mzuri kwa kizazi cha wapenda kuajiriwa...

Ikiwa taasisi yenye wafanyakazi hata 10K, inaweza kuhitaji less than 5 Human Resources Personnel, je nyie wapenda ajira mnadhani hiyo kozi ni mzuri kwenu?!

YES, I know wapo watakaokuja na kusema "unaweza hata kuajiriwa huku na kule, na sio lazima uajiriwe as a human resources personnel"!

Kwa kuangalia HRM ilivyo, naweza kukubaliana na madai hayo, lakini ningeweza kukubaliana zaidi miaka 20 iliyopita ambapo huko "huku na kule" hakukuwa na watu wa kutosha kwa fani husika!!

All in all, kama unapenda interesting and non-boring course, go for it... I loved it lakini kwavile umesema Mkwawa haipo hiyo kozi, basi kwako itakuwa ngumu kwa sababu, njia pekee ni kuacha chuo Mkwawa na kwenda vyuo wanavyofundisha hiyo kozi!! Sidhani kama kuna transfer ya aina hiyo!!!

Hata hivyo, kama wewe ni mtoto wa maskini kama sie wengine, basi itoshe tu kusema kwamba "Maskini HADEKI"!! Endelea kusoma Ualimu!! Ukimaliza ualimu, kapige MBA- Human Resources Management!

Hakuna Mwajiri asiyependa kuwa na HR Personnel ambae pia ni mwalimu! Walimu wanajidharaulisha wenyewe tu lakini hii taaluma inaheshimika sana na wenye akili zao!!

Lakini kama sio maskini mwenzetu, kasome hiyo HRM sasa kwa KUJILIPIA mwenyewe!! Lakini kama umeagana na nyonga, basi rudi kitaa usubiri hiyo mwakani!!
 
Human Resources ni tamu sana kuisoma coz' niliisoma as a unit... haiboi hata chembe!!

Hata hivyo, nimekuwa nikijiuliza ikiwa hii kozi ni mzuri kwa kizazi cha wapenda kuajiriwa...

Ikiwa taasisi yenye wafanyakazi hata 10K, inaweza kuhitaji less than 5 Human Resources Personnel, je nyie wapenda ajira mnadhani hiyo kozi ni mzuri kwenu?!

YES, I know wapo watakaokuja na kusema "unaweza hata kuajiriwa huku na kule, na sio lazima uajiriwe as a human resources personnel"!

Kwa kuangalia HRM ilivyo, naweza kukubaliana na madai hayo, lakini ningeweza kukubaliana zaidi miaka 20 iliyopita ambapo huko "huku na kule" hakukuwa na watu wa kutosha kwa fani husika!!

All in all, kama unapenda interesting and non-boring course, go for it... I loved it lakini kwavile umesema Mkwawa haipo hiyo kozi, basi kwako itakuwa ngumu kwa sababu, njia pekee ni kuacha chuo Mkwawa na kwenda vyuo wanavyofundisha hiyo kozi!! Sidhani kama kuna transfer ya aina hiyo!!!

Hata hivyo, kama wewe ni mtoto wa maskini kama sie wengine, basi itoshe tu kusema kwamba "Maskini HADEKI"!! Endelea kusoma Ualimu!! Ukimaliza ualimu, kapige MBA- Human Resources Management!

Hakuna Mwajiri asiyependa kuwa na HR Personnel ambae pia ni mwalimu! Walimu wanajidharaulisha wenyewe tu lakini hii taaluma inaheshimika sana na wenye akili zao!!

Lakini kama sio maskini mwenzetu, kasome hiyo HRM sasa kwa KUJILIPIA mwenyewe!! Lakini kama umeagana na nyonga, basi rudi kitaa usubiri hiyo mwakani!!
daa!! nimekuelewa mwamba ahsante sana na uzi umefungwa lasimi.,, balikiwe sana kuna kutu nimebeba hapo,,
 
jamn naamini mko powa na wenye kujisikia vibaya kiafya MUNGU awape wepes,, jaman mmm nimechaguliwa mkwawa univst,,kusoma education ila sikupenda kusoma hiyo kitu nilihitaj human resorc,, na hapa chuon hawana hii course,, so nafanyaje ili nisome ninachokihitaji msaada tafadhal....na chuo gani kizur na njia gani itumike kuhama hapa,, nimejarib kuombq naambiwa niandike barua halafu nisubili majibu huku nikiendelea kusoma daa yani sina poz!!nifanyeje jaman...?..
Hiyo kozi ya education wakati unaijaza ulikua unawaza nini? Yaani umeomba kozi mwenyewe alafu umechaguliwa unalalamika!
 
Kama unajisomesha mwenyewe ni rahisi sana kuhama, ila kama unategemea mkopo utafuata mchakato mrefu ambapo pia kufanikiwa ni 'probability'
 
unasoma ili iweje?? usikute unasoma ili upate ajira

ukwel mchungu kwa ninyi mnaoanza vyuo lazma tuwaambie ukweli hata kama ni mchungu kubali ivyo ivyo il msije kuanza lawama hapo baadae mkimaliza kuwa hatukuwashauri.

nenda kasome kile ambacho ukimaliza chuo kitakupa ujuzi na ujanja wa kutoboa kitaani bila mateso,

yaan kasome kile kinachokwenda na wakat, usisome sabbu fulan kasoma, au sabb kwenu wamesema usome, kama hauna dira ya maisha dogo ni bora uache kusoma na izo ada zikusanye fungia benki na utulie home mpka akili itakapokukaa sawa ya kusoma jambo la maana itakapokuja kichwani kwako.

ama vip tukupe ushaur bure huo mtaji fungua genge la malimao&nyanya hakika utakuja kunishukuru....
 
Back
Top Bottom