FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Katika udadisi wangu wa kina na wa muda mrefu, nimebaini kitu ambacho nimekuwa nikikihisi toka niko mdogo.
Zile mbinu za kutishia watu wazima nyau kwamba utaenda motoni au kwamba utaenda kunywa maziwa na asali pamoja na malaika zinaanza kukosa mashiko kwa sasa. Hata yale mawazo ya kipuuzi ya kwenda kupewa wanawake waremho mbinguni kama zawadi ya kufanya jambo flani la kiimani pia imeanza kukosa mashiko.
Kiufupi ushiriki wa wanaojiita waumini wa imani mbalimbali ni ili waweze kuzikwa siku watakapofariki. Na ili kuwatisha zaidi, uongozi wa imani zao umekuwa ukionyesha mifano ya kukataa kuwazika wale ambao wamekataa kuwa ‘extorted’ na mfumo husika wa kiimani, ila wao utasikia wakisema ‘hatumziki sababu alikuwa hashiriki......’, kumbe ukifuatilia utakuta walimuomba mchango wa kununua gari la kiongozi flani wa kiimani akakataa ndio inakuwa kama adhabu hiyo.
This is black mail.
Zile mbinu za kutishia watu wazima nyau kwamba utaenda motoni au kwamba utaenda kunywa maziwa na asali pamoja na malaika zinaanza kukosa mashiko kwa sasa. Hata yale mawazo ya kipuuzi ya kwenda kupewa wanawake waremho mbinguni kama zawadi ya kufanya jambo flani la kiimani pia imeanza kukosa mashiko.
Kiufupi ushiriki wa wanaojiita waumini wa imani mbalimbali ni ili waweze kuzikwa siku watakapofariki. Na ili kuwatisha zaidi, uongozi wa imani zao umekuwa ukionyesha mifano ya kukataa kuwazika wale ambao wamekataa kuwa ‘extorted’ na mfumo husika wa kiimani, ila wao utasikia wakisema ‘hatumziki sababu alikuwa hashiriki......’, kumbe ukifuatilia utakuta walimuomba mchango wa kununua gari la kiongozi flani wa kiimani akakataa ndio inakuwa kama adhabu hiyo.
This is black mail.