Nimeangalia salary slip zangu, kweli Kikwete alikuwa Rais bora

kasinge

JF-Expert Member
May 22, 2011
1,259
319
Kikwete anaingia ikulu, nilikuwa na kijimshahara cha 157,000/= nilichopata baada ya kutumika mia zaidi ya 10 katika ajira ya serikali. Alipoingia Kikwete mshahara ulipanda ndani ya mwaka wake wa kwanza hadi 200,000+. Mpaka anaondoka slip yangu inasoma 1.6m. Tangu aondoke imegota hapo.

Cha ajabu, huyu Mzee wa Msoga, kaajiri watumishi kibao wa serikali. Amesaidia na ku-create ajira nyingine pembeni. Mimi nilikuwa namdharau sana, lakini leo nimejidharua mimi mwenyewe baada ya kuyasoma "Manamba kibao".

Hakuna kupandishwa daraja, hakuna nyongeza, hakuna lolote kwa ujumla. Nimemkumbuka sana Mzee wa Msoga. Ka nyumba kangu kameishia kwenye renta. Kwa ujumla, "Twafaaaaaaa".
 
Kikwete anaingia ikulu, nilikuwa na kijimshahara cha 157,000/= nilichopata baada ya kutumika mia zaidi ya 10 katika ajira ya serikali. Alipoingia Kikwete mshahara ulipanda ndani ya mwaka wake wa kwanza hadi 200,000+. Mpaka anaondoka slip yangu inasoma 1.6m. Tangu aondoke imegota hapo.
Cha ajabu, huyu Mzee wa Msoga, kaajiri watumishi kibao wa serikali. Amesaidia na ku-create ajira nyingine pembeni. Mimi nilikuwa namdharau sana, lakini leo nimejidharua mimi mwenyewe baada ya kuyasoma "Manamba kibao". Hakuna kupandishwa daraja, hakuna nyongeza, hakuna lolote kwa ujumla. Nimemkumbuka sana Mzee wa Msoga. Ka nyumba kangu kameishia kwenye renta. Kwa ujumla, "Twafaaaaaaa".
Mh hiyo increment vepe, uko idara gani bro?
 
Kuna mwingine ambaye sio mwanaume kwani mkuu?
Nilikuwa nambeza, lakini baada ya kuangalia slip zangu nikasema kweli huyu jamaa alikuwa akisikiliza wafanyakazi na kuwatekelezea. Si kitu kidogo, kwa Mkapa unaingia na 83,000-157,000/ afu Kikwete 157,000-1.6m.
 
Kikwete anaingia ikulu, nilikuwa na kijimshahara cha 157,000/= nilichopata baada ya kutumika mia zaidi ya 10 katika ajira ya serikali. Alipoingia Kikwete mshahara ulipanda ndani ya mwaka wake wa kwanza hadi 200,000+. Mpaka anaondoka slip yangu inasoma 1.6m. Tangu aondoke imegota hapo.
Cha ajabu, huyu Mzee wa Msoga, kaajiri watumishi kibao wa serikali. Amesaidia na ku-create ajira nyingine pembeni. Mimi nilikuwa namdharau sana, lakini leo nimejidharua mimi mwenyewe baada ya kuyasoma "Manamba kibao". Hakuna kupandishwa daraja, hakuna nyongeza, hakuna lolote kwa ujumla. Nimemkumbuka sana Mzee wa Msoga. Ka nyumba kangu kameishia kwenye renta. Kwa ujumla, "Twafaaaaaaa".
Yani mda wote huo ulijua ni mwana.m.ke?! Au unamaanisha Sasa hivi kuna naniii?!!
 
Moja kati ya maamuzi ya hovyo kuwahi kufanywa na JK ni kutuletea huyu jamaa wa Chattle.

Kikwete ndio katuletea huyu Kocha Mchezaji anayetaka kila wazo lake tulifate.
Una uhakika lilikuwa ni chaguo lake hili? Lakini si vyema kumjaji raisi kwa kipindi kifupi hivi, wakubwa wanakumbuka ukapa wa awamu ya kwanza wa mzee Mkapa. Mwisho wake ukawaje ktk mfumo huu wa UBEPARI?
 
kutoka 157,000 hadi 1,600,000 mshahara miaka 10.... unaongezeka kwa 1000% ndani ya miaka 10? ume consider na infaltion ndugu au unasifu tu,

na pia kujua uzuri au ubaya wa JK haupimwi kwa kuangalia mshahara tena wa mtu mmoja!

ni faida gani kama wote tukiongezewa hayo makaratasi tunayochukua mwisho wa mwezi huku huduma na bidhaa zikiwa hazijaongezeka? jibu utapata ni useless
 
Moja kati ya maamuzi ya hovyo kuwahi kufanywa na JK ni kutuletea huyu jamaa wa Chattle.

Kikwete ndio katuletea huyu Kocha Mchezaji anayetaka kila wazo lake tulifate.
Mzee wa Shattle bado ana muda anaweza kuja na wonders. Afu Sidhani kama aliletwa na mzee wa Msoga, huyu kajileta Mwenyewe. Kajisemea "Nilibeep, ikajipiga". Tumpe angalau 3 years. Ananyoosha nchi kwanza.
 
Back
Top Bottom