Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
Heshima zenu wanajamvi wa mmu, bila shaka mnakumbuka post yangu ya nyuma kuhusu kuolewa nashukuru sana wengi wenu mlinitia moyo mkanifariji na mkanipa mawazo kemkem ya kusonga mbele, nilikua natafakari mambo mengi kwa muda wote ule na kuna jibu moja la maana nimelipata na litawafaidieni na nyie ni kwamba, upande juu ushuke chini KUNA KIPINDI MWANAMKE ANAHITAJI KUITWA MAMA usichana basi na anatamani jina lake libadilike si Sofia tena anatamani kusikia mama fulani, sasa basi nimeamu nitafute mtoto kwa udi na kwa uvumba bila kuwa na mume nimeamua kufungua ukurasa mpya wa maisha naenda zangu mbali nikiwa na maana ya kuama.
sitahiji uhusiano wowote na watu wa zamani wala comunucation wala rafiki wala shoga nabadilisha namba ya simu nafunga email yangu naenda kuanza upya marafiki na mashoga zangu mtanisamehe sana walio kuwa wapenzi wangu ndio kabisaaa hawatakaa wanisikia wala kuniona nimeamua ndio maisha mapya wa kuzaa nae nishampata kwa vile nimeona hana mwelekeo wa kuoa nikishabeba mimba tuu namtoroka hatakaa anisikie kwa chumvi wala kwa sukari ni mimi na mwanangu tuu, habari ndio hiyo
sitahiji uhusiano wowote na watu wa zamani wala comunucation wala rafiki wala shoga nabadilisha namba ya simu nafunga email yangu naenda kuanza upya marafiki na mashoga zangu mtanisamehe sana walio kuwa wapenzi wangu ndio kabisaaa hawatakaa wanisikia wala kuniona nimeamua ndio maisha mapya wa kuzaa nae nishampata kwa vile nimeona hana mwelekeo wa kuoa nikishabeba mimba tuu namtoroka hatakaa anisikie kwa chumvi wala kwa sukari ni mimi na mwanangu tuu, habari ndio hiyo