Nimeamua kubadili aina ya maisha

RingaRinga

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
1,052
Reaction score
529
Nipo hapa leo kusema kwamba tangazo hili nimelifuta, na nimeamua kuishi maisha tofauti kabisa kwa sasa, naomba Mungu anisaidie niweze kuyafikia malengo na ili jina lake litukuzwe kupitia maisha niliyoamua kuishi,
Mnisamehe km kwa namna moja ama nyingine niliwapotezea muda ama ntakuwa nimewakwaza.
I need to be happy with genuine happiness,
Please pray for me
 
Usinifanyie hivyo mwenzako niko tayari
 
Kimekusibu nini mkuu
 
Nakutakia safari njema katika safari ya maamuzi yako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…