Nipo hapa leo kusema kwamba tangazo hili nimelifuta, na nimeamua kuishi maisha tofauti kabisa kwa sasa, naomba Mungu anisaidie niweze kuyafikia malengo na ili jina lake litukuzwe kupitia maisha niliyoamua kuishi,
Mnisamehe km kwa namna moja ama nyingine niliwapotezea muda ama ntakuwa nimewakwaza.
I need to be happy with genuine happiness,
Please pray for me