Nimeamkiwa na mzungu

Nimeamkiwa na mzungu

Sukari Yenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
1,698
Reaction score
1,260
Habari wanajamii,

Nikiwa katika kutimiza majukumu yangu ya kazi nilifika katika nyumba za kanisa fulani. Shida yangu ilikua kufika nyumbani kwa mchungaji wa kanisa la mahali hapo.

Niliona mlango wa nyumba moja kati ya nyingi za mahali hapo upo wazi, nikasogea na kugonga. Nilisikia sauti za watu wakiongea lugha nisiyoielewa, nadhani kilikua Kitaliano.

Akatoka bint wa Kizungu age 15-17 hivi, wakati nawaza kumsalimia Kiinglish akaniwahi na "shikamoo" tena kwa unyenyekevu kama wafanyavyo wakwe zangu(wanyakyusa), kwa kubonyea kidogo.

I was surprised na nikaitikia kwa umaridadi kabisa. Ingekua hawa dada zetu wa kibantu (watoto wa mjini) asingeniamkia, kwa muonekano wangu.

Nikaeleza shida yangu akanielekeza nikamuuliza na jina akasema anaitwa Suzana.

My take,
Hawa watu wakija huku kwetu ni vema wafuate taratibu na mwenendo wetu na tuwafundishe norms and customs zetu. Sijui yule bint ana muda gani hapa Tz sababu anaongea Kiswahili kwa taabu kidogo. Kilichonifurahisha ni ile salam yake na niliona fahari ya Uafrika wangu kwa mara nyingine tena.
 
Mnapenda kuwapa ujiko wapuuzi hawa wakija Bongo mnawatetemekea , wakati wao hawanatabia ya kumtetemekea mtu, wewe kuamkiwa shikamoo na mzungu unaleta Jamii huku. Wapuuzeni wanao wapuuza
 
Hongera zako mkuu...

Tatizo la kukosa Exposure, hili ni jambo ls kawaida sana.
 
Habari wanajamii,
Nikiwa katika kutimiza majukum yangu ya kazi nilifika katika nyumba za kanisa fulani. Shida yangu ilikua kufika nyumbani kwa mchungaji wa kanisa la mahali hapo. Niliona mlango wa nyumba moja kati ya nyingi za mahali hapo upo wazi, nikasogea na kugonga. Nilisikia sauti za watu wakiongea lugha nisiyoielewa, nadhani kilikua Kitaliano.
Akatoka bint wa Kizungu age 15-17 hivi, wakati nawaza kumsalimia Kiinglish akaniwahi na "shikamoo" tena kwa unyenyekevu kama wafanyavyo wakwe zangu(wanyakyusa), kwa kubonyea kidogo. I was surprised na nikaitikia kwa umaridadi kabisa. Ingekua hawa dada zetu wa kibantu (watoto wa mjini) asingeniamkia, kwa muonekano wangu. Nikaeleza shida yangu akanielekeza nikamuuliza na jina akasema anaitwa Suzana.
My take,
Hawa watu wakija huku kwetu ni vema wafuate taratibu na mwenendo wetu na tuwafundishe norms and customs zetu. Sijui yule bint ana muda gani hapa Tz sababu anaongea Kiswahili kwa taabu kidogo. Kilichonifurahisha ni ile salam yake na niliona fahari ya Uafrika wangu kwa mara nyingine tena.

Sasa wewe umeshindwa kumuuliza yule binti ana muda gani hapa Tanzania unatuuliza sisi? Sasa sisi tutajuaje?! Rudi tena ukamuulize utapata na Shikamoo nyingine..
 
tumblr_ndh2a7zPYX1ruqqm0o1_400.gif
 
Habari wanajamii,
Nikiwa katika kutimiza majukum yangu ya kazi nilifika katika nyumba za kanisa fulani. Shida yangu ilikua kufika nyumbani kwa mchungaji wa kanisa la mahali hapo. Niliona mlango wa nyumba moja kati ya nyingi za mahali hapo upo wazi, nikasogea na kugonga. Nilisikia sauti za watu wakiongea lugha nisiyoielewa, nadhani kilikua Kitaliano.
Akatoka bint wa Kizungu age 15-17 hivi, wakati nawaza kumsalimia Kiinglish akaniwahi na "shikamoo" tena kwa unyenyekevu kama wafanyavyo wakwe zangu(wanyakyusa), kwa kubonyea kidogo. I was surprised na nikaitikia kwa umaridadi kabisa. Ingekua hawa dada zetu wa kibantu (watoto wa mjini) asingeniamkia, kwa muonekano wangu. Nikaeleza shida yangu akanielekeza nikamuuliza na jina akasema anaitwa Suzana.
My take,
Hawa watu wakija huku kwetu ni vema wafuate taratibu na mwenendo wetu na tuwafundishe norms and customs zetu. Sijui yule bint ana muda gani hapa Tz sababu anaongea Kiswahili kwa taabu kidogo. Kilichonifurahisha ni ile salam yake na niliona fahari ya Uafrika wangu kwa mara nyingine tena.

Nielekeze kwao na Mimi akanisalimie!!
 
Habari wanajamii,
Nikiwa katika kutimiza majukum yangu ya kazi nilifika katika nyumba za kanisa fulani. Shida yangu ilikua kufika nyumbani kwa mchungaji wa kanisa la mahali hapo. Niliona mlango wa nyumba moja kati ya nyingi za mahali hapo upo wazi, nikasogea na kugonga. Nilisikia sauti za watu wakiongea lugha nisiyoielewa, nadhani kilikua Kitaliano.
Akatoka bint wa Kizungu age 15-17 hivi, wakati nawaza kumsalimia Kiinglish akaniwahi na "shikamoo" tena kwa unyenyekevu kama wafanyavyo wakwe zangu(wanyakyusa), kwa kubonyea kidogo. I was surprised na nikaitikia kwa umaridadi kabisa. Ingekua hawa dada zetu wa kibantu (watoto wa mjini) asingeniamkia, kwa muonekano wangu. Nikaeleza shida yangu akanielekeza nikamuuliza na jina akasema anaitwa Suzana.
My take,
Hawa watu wakija huku kwetu ni vema wafuate taratibu na mwenendo wetu na tuwafundishe norms and customs zetu. Sijui yule bint ana muda gani hapa Tz sababu anaongea Kiswahili kwa taabu kidogo. Kilichonifurahisha ni ile salam yake na niliona fahari ya Uafrika wangu kwa mara nyingine tena.

Hata angekuambia "Hi "najua tuu ungeleta feedback hapa, hongera sana kwa kusalimiwa na mzungu😀😀.
 
umeona ujiiiiko kusalimiwa na mzungu. angekupikia chai sijui ingekuaje
 
watu bwana, jaribuni kuangalia his point of view..he did not expect hilo neno kutoka kwenye kinywa cha huyo mtoto, sio mbaya kama kimemshangaza na kufurahia kwamba kajifunza customs zetu akiwa mdogo. wazungu wakiwa wanakuja nchini kwako watajifunza kuhusu nchi yako ili kufanya kusudio lao (language, customs etc). sasa hawa kama wamekuja makanisani lazima wajifunze Kiswahili na customs zetu, its like kwendq China kama ni kusoma ujifunze kichina na customs zao.. BuT watu mnakuwa judgemental for no reason!!
 
Ohhh! shikamhooo sukari yenuuu (am Dominica Nationality)
 
Back
Top Bottom