Nimeamini wanaume hawaaminiki

Angalizo , mwanaume wake ndio aaminiki. It funny kwakweli kama mwanaume mmoja au wachache wanafanya jambo lisilo sawa halaf lawama wanatupiwa wanaume wote duniani, including wale wema
 

Mimi nimepumzika sasa naona hakuna umuhimu kabisaaa
 
kumwamini mwanaume kwamba hawezi kutongoza nje ni ujinga unaotokana na kukumbatia mafundisho ya wazungu, waliyoyaleta kwa maslahi yao, maana kwa asili kila kiumbe cha kiume kinazo sababu za asili kuwa na jike zaidi ya moja.
Ibrahimu baba wa imani ya kikristo alikuwa na wake wengi
japo uzinzi haukubariki,

soma hapa:
1: Ibrahimu wake 3 (1nyakati 1:32, na mwanzo 25:1 pamoja na 25:6)
2: Yakobo wake 4 (Mzo 31:17)q
3: Daudi wake wa 7 na masuria kadhaa [1nyakai 3 inaeleza wake 7 ]Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli; wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti 9Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi; wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe. Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akatawala miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu. Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.
1 Mambo ya Nyakati 3:1‭-‬4‭, ‬24 SRUVDC

1 Mambo ya Nyakati 3:1 Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli | Swahili Revised Union Version (SRUVDC) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi. -24.SRUVDC
(1samweli 27:3,)
4: Sulemani.wake700 na.masuria 300
(1Wafalme 11:3)
5: Rehoboamu wake 18 masuria 60
(2nyakati11:21)
6: Abia wake 14 (2nyakati 13:21)
7:Lameki wake wa2 (mwanzo.4:23)
8: Elikana wake wa2 (1samweli 1:2)
9: Shaharahim wake 2 (1nyakati 8:8)
10: Rehoboamalioa wengi (2nyakati11:21)
11: Beerhjaza wakewengi (Dan 5:2)
12: Yoashi wa 2 (2nyakati 24:3)
13: Elikana wa2 (1sam 1:2)
14: Gidioni wengi (Waamuzi 8:30)
 
Hamna cha nature wala nn kutetea tu uzinzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…