Nimeamini wanaume hawaaminiki

Pole kuna vingi utazid kujifunza mdogo angu.
 
Mbona cha ajabu sijaona hapo mimi, kwani kutongozwa si kawaida tu hapo ulitakiwa useme yes au hapana.
 
Cha ajabu hapo ni mwanaume ana mke wake ila bado anataka michepuko
Iyo si ajabu best iyo ni nature kwa kiumbe anaitwa mwanaume, ni kawaida sana kuona mwanaume anampenda kupitiliza mke wake cha ajabu akakufata akakutongoza kutaka mapenzi iyo tunaita nature vizazi na vizazi, kibaya kutelekeza familia ndio mbaya zaidi.
 
Huyo mwanaume ni mwamimifu na anampenda sana mkewe.....anachokifanya anamlinda mkewe hataki awe karibu na wewe, anaogopa usije kumharibu mkewe🤣🤣🤣🤣......si unajua akufukuzae?

Angekuwa muhuni angefanyia mbali huko na angepata sababu ya kuchelewa kurudi as mkewe ana kampani nyumbani.....angewapisha Yani🤣🤣🤣
Huyo hakutaki na hataki kukuona karibu na mkewe ndo anawagombanisha......Ila ukijichanganya anakulamba kweli mgombane vizuri🤣🤣🤣

Halafu mashosti mpunguze kutembelea walioolewa, wanaume wengine washazoea wakirudi kazini wanapokelewa kikubwa, nyumba imefukizwa udi, mke ana kanga moja....ni kujishindia tu.....sa anarudi anakuta mke anafumuana nywele na shost, ni ukatili mnafanya huo🤣🤣🤣 Tulia kwenu mdogo angu.
 
Chumba chao sijawahi kuingia hata sebule yao sijui inafanana vipi, nyumba zetu zipo karibu kiasi kwamba sioni shida kukaa kibarazani kwao na yeye huwa anakuja kibarazani kwetu kukaa

Tunakaa na watoto wake tunapiga story tunacheka sasa kama ananihofia mimi kazi kwake
Na sio kwamba mimi ndo best wa mama cathe nop! Ana marafiki zake mtaani ila akiwa peke yake ndo naenda kwa wiki hata mara 3 haifiki cz mimi mwenyewe nakua busy na mambo yangu
 
Nakushauri usiende kwake, hawa wanaume kadri tunavyoishi nao ndo wivu unaongezeka.......akimaliza kukutongoza atakwambia unamfundisha umalaya mke wake.
 
Mama Cathe ni mtu naelewana nae hata mama angu ni rwfiki yake mkubwa
Sema Mumewe ndo anataka kuleta mambo ya kiwaki...
Kama upo single na upo serious nichek private tujenge maisha.
Achana na huyo mume wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…