after ugomvi show hua lina noga sanakukwaruzana ni kawaida sana, unaoa mwanamke unamkuta na tabia zake, na ww anakukuta na tabia zko, hapo ndo maana halis ya Ndoa, kuvumiliana matatizo ya kila mmoja, ...
Hakuna raha kama mmegombana then baadae mnaamishia hasira kwa ground...aisee hapo game itapigwa mpaka raha.
Basi nyie hamjapendana mnaishi kinafiki.Mmmh mbona sisi hatukwazanagi
Utakuwa mkuria wewe mpaka upigwe ndio uone unapendwa😏Basi nyie hamjapendana mnaishi kinafiki.
Kupishana kauli na kupeana kipigo nikawaida mbona lakini kwanyie mnavyoishi kama ni hivyo basi mnafake sana maisha yenu hampo real.Utakuwa mkuria wewe mpaka upigwe ndio uone unapendwa
Duu nakushangaa yani kipigo kwako nikawaida 😂😂😂, kama kweli unachezea kipigo kutoka kwa mwenzi wako kaa jitafakari.Kupishana kauli na kupeana kipigo nikawaida mbona lakini kwanyie mnavyoishi kama ni hivyo basi mnafake sana maisha yenu hampo real.
Alafu mbona mm sichezei kipigo lakini hata maswala ya kupigana siyapendi huwa napenda peace muda wote niliyo yaongea hapo ni maoni tuDuu yani nakushangaa yani kipigo kwako nikawaida, kama kweli unachezea kipigo kutoka kwa mwenzi wako kaa jitafakari.
Whetever the case kipigo hapana, sasa kama mtu unaelewa huwezi kutoa mchango wa kipigo ni kawaida 🤗🤗🤗Alafu mbona mm sichezei kipigo lakini hata maswala ya kupigana siyapendi huwa napenda peace muda wote niliyo yaongea hapo ni maoni tuusichukulie ndio real life yangu.
Kukwazana ipo sana kuna muda unampiga mtu anakujibu ovyo wala hataki kabisa kuongea au unamuuliza kitu fulani anakujibu mbovu kwani ww hizi hukutani nazo?Whetever the case kipigo hapana, sasa kama mtu unaelewa huwezi kutoa mchango wa kipigo ni kawaida
Nway ni vizur kama you live in peace na usikariri kwamba kupendwa au kupendana ni mpaka muwe mnakwanzana , pigana and stuff like that.
Nalikumbuka gazeti la SaniMambo si hayo sasa kimwana..
Dunia ni yetu njoo tuifaidi mpaka mwisho wa iddi..
Nikaribishe chumbani uweke na ubani tukacheze kitandani..
Komamanga mkubwa wewe Mimi sio pimbiNalikumbuka gazeti la Sani
Harakati za Pimbi
vipi ndio mwisho wa uzi mkuu?Natumai hamjambo wakuu.
Jana nikiwa nimerejea toka kazini tukawa tunapiga stori na wife aliniuliza "hivi mume tumewezaje kumaliza wiki ya 3 sasa bila kukwazana? wakati mara nyingi hata wiki hua hatumalizi? nikamuuliza umemiss kukwazana?
Akajibu hapana but nimeshangazwa na hili coz huko nyuma japo huwa tunaweka maazimio yakutokwazana na kujitahidi kujizuia but hutokea tu tena ndani ya mda mfupi" tukacheka kidogo then nikamwambia kukwazana pia ni sehemu ya maisha.
Sasa wakuu nachojiuliza je kwa nini ni ngumu sana kujizuia na kukwazana katika ndoa/mahusiano na unapopita mda mrefu kidogo bila kukwazana kila mtu hushangazwa na hali hiyo?
Mmmh mbona sisi hatukwazanagi
ka unataka part 2 soon inakujavipi ndio mwisho wa uzi mkuu?
Wee huna mahusiano?Acha wenye ndoa zao waje
Hapana sijawahi kupigwa 🤗🤗Kukwazana ipo sana kuna muda unampiga mtu anakujibu ovyo wala hataki kabisa kuongea au unamuuliza kitu fulani anakujibu mbovu kwani ww hizi hukutani nazo?
Vp siku kama ukapewa kipigo itakuwaje?Hapana sijawahi kupigwa
Ntavunja uhusiano, maana ukiendelea atazoea kukupiga na mwisho inaweza kuleta madhara makubwa.Vp siku kama ukapewa kipigo itakuwaje?
Ndio, bado sijapata mtu sahihiWee huna mahusiano?
Hapo ndio umependa sasa alafu siku hiyo umekula kipigo alafu baadaye anakuomba msamaha utamkubalia au utakataa kuendelea naye?Ntavunja uhusiano, maana ukiendelea atazoea kukupiga na mwisho inaweza kuleta madhara makubwa.
Sisi wote ni watu wazima kwanini tusikae chini tukazungumza tukarekebisha mpaka tufike kupigana, kama tumeshindwana kwanini tuendelee kuwa pamoja si tuachane tu kwa kheri.