Hata wanaume ambao hawana digrii wanajiamini kuliko wale wenye vi digriiJambo hili kwa sasa ni bayana kabisa hapa nchini.
Hata wanaume ambao hawana digrii wanajiamini kuliko wale wenye vi digrii
Uongo ?
Uongo sjuagi wanawaza mann wanaosemaga hiviUongo ?
Vipi na ww umeshatumia dawa limeota , ndo umeanza kujiamini au unasemea kutokea wapi ?Jambo hili kwa sasa ni bayana kabisa hapa nchini.
Barikiwa sanaHata sisi wenye makalio tunajiamini vilevile...sio wenye tako pekee..
Mzee wa chura utakuwa umefungua uzi kwa spidiNa chura iheshimiwe na watu wote
mkuu upo???Acha nisikitike tu mie