Nimeamini mapenzi yana nguvu

Msipende kutishiana kwenye mahusiano!!
 
Kwanini kuna likizo?
Prof Ndalechako wanao wanasumbua punguza likizoo...
 
Nimependa sentensi yako mwisho kabisa kwenye thread eti:

"Maombi yenu jamani"

Nani akuombee sasa, hahahahaaahhahah
 
Human nature
mkuu wewe rudisha mapenzi kwenye chaputa tu, kwani si umekaa chuo muda wote huo na uka savaivu bila papachu? wewe jifungie chumbani na mafuta yako kisha tandika bao kama saba hivi kwa hasira kisha baada ya hapo ukikutana nae utamuona kama hausi geli tu.
 
Mamai jf kuna wazinzi [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ushasema hapo shida yako ni kipoch manyoya tu ngoja ukipate uone mtu akitafakur vzur kichwa cha chin knakushnda akili
 
Chuo kulivyo na mademu wengi we bado unahangaika na wa mtaani? Au upo chuo cha upadre??
 
Mkuu punguza kuongea UKWELI.

haha Mugabe anasemaga hivi,ukipiga nyeto kabla ya dem kumnoni Basi utabadili maamuzi yako.
hahaaa nikweli kabisaaa yule mzee alisema sahihi ..wajua some tymz waweza kumfikiria mwanamke kwaajili ya msukumo wa nyege tu ..then ukajihis kuwa unampenda kumbe sivyo ..nyege mbaya sana ..na ndio zime sababisha mpka vijana wengi kujikuta wanaoa ama kuolewa mahala ambapo sio sahihi kwao ...baadae wanakuja kugundua kuwa wapo kwenye ndoa ambayo walikuwa hawaihitaji lakini ndio inakuwa basii tena
 
Duu[emoji15] [emoji15]
 
uache kutingisha kibiriti ilhali unajua kabisa bima huna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…