scriptwritter
New Member
- Oct 17, 2017
- 3
- 2
Wakuu nilichaguliwa kwenye multiple, cha kushangaza jina naliona chuo kimoja na vyuo vingine silioni kwa vile ilikuwa mwisho tar 18 kukomfem nilituma kwa njia ya SMS kukomfem na walinijib welcome.
Sasa kumbe Mzumbe kuna majina yalikuwa yanasumbua mojawapo ni langu wakanipigia wakanielewesha nikawaambia nakipenda Mzumbe lakini kule nimekomfemu wakasem wewe tuambie kama unakuja hiyo isikupe shida.
na kwel Jumatatu wamenitumia admission latter Mzumbe lakini nilipojaribu kuingia kwenye kile chuo kingine account yao ilihitaj nikomfemu hapa inakuja maana mkopo nategemea. Je nitapata maana nimetolewa multiple second round msaada.
Sasa kumbe Mzumbe kuna majina yalikuwa yanasumbua mojawapo ni langu wakanipigia wakanielewesha nikawaambia nakipenda Mzumbe lakini kule nimekomfemu wakasem wewe tuambie kama unakuja hiyo isikupe shida.
na kwel Jumatatu wamenitumia admission latter Mzumbe lakini nilipojaribu kuingia kwenye kile chuo kingine account yao ilihitaj nikomfemu hapa inakuja maana mkopo nategemea. Je nitapata maana nimetolewa multiple second round msaada.