Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Wadau habari zenu mimi mwenzenu kuna jamaa yangu alikuwa hapendi Mimi nichaguliwe chuo baada ya kumwambia nimechaguliwa basi hakuwa na amani Lakini juzi nilimwachia simu yangu aingie net.
Ajabu jana mida ya saa mbili nikalogin account yangu ya UDSM kuchek hivi nikashangaa inaniambia niconfirm tena dah nikaconfirm upya faster.
Basi night ile ile nikamsaka mshikaji na kumshushia kipigo cha kufa mtu
Night ile ile nikadakwa na kuwekwa sero ila nashukuru leo nimetoka nipo mtaani nikiendelea kuwasubiri HESLB wafanye yao.
My take katika kipindi hiki sio vizuri kulogout account zenu za vyuo
Ajabu jana mida ya saa mbili nikalogin account yangu ya UDSM kuchek hivi nikashangaa inaniambia niconfirm tena dah nikaconfirm upya faster.
Basi night ile ile nikamsaka mshikaji na kumshushia kipigo cha kufa mtu
Night ile ile nikadakwa na kuwekwa sero ila nashukuru leo nimetoka nipo mtaani nikiendelea kuwasubiri HESLB wafanye yao.
My take katika kipindi hiki sio vizuri kulogout account zenu za vyuo