Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,051
- 12,576
Yaani vichwa vyenu havina akili ya kuelewa. Watu wale wale kwa Dkt Magufuli waliogopa kuiba. Hao hao kwa Mama walishangilia baada ya kifo cha Dkt Magufuli wakijua sasa wataiba na ndiyo maana Mama anaelewa. Wizi ni attitude ya watu. Mfano Mh. Makamba ana akili za wizi wizi na kupiga dili, mh. dkt Mwigulu naye ni hivyo hivyo ana vinasaba vya wizi na dili. Hao wote lazima wamhujumu mama ili wapate cha kusema 2025. Watasuka mipango ya dili na kuiba na akiwaacha watamharibia sana. Labda kama atawathibiti.Rais Samia kula nao sahani moja
Ati wanazarau, ati wanakuona mpole, ati wanataka kukupangia cha kufanya ata wanakublack mail.
Rais Samia usiwaache wizi wa awamu ya tano lazima uwekwe hadharani na wafikishwe mahakama ya mafisadi na uhujumu uchumi.
Rais Samia usiwaache zile billion 180 za hazina, zile billion 90 za CCM, yale mabilio ya bandari, tanesco, zile billion 90 za chama na hazijulikani zilipo, zile tenda hewa. RAIS SAMIA tunataka waziteme
Tunasimama na Rais Samia
Rais Samia
#Kazi Iendelee