mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,332
- 4,858
Nimeona nisimulie kakisa kadogo baada ya kuona mauaji ya wapenzi yanayoendelea hapa nchini na leo ngoja niwape kaushuhuda kidogo kile kilichowahi kunitokea baada ya kushindwa kuthibiti hisia zangu za hasira.
Mimi ni kijana ambaye nilibahatika kuoa mapema nikiwa na miaka 21 na mpaka nafanya hayo nilikuwa na miaka 29 mwanzoni mwa penzi letu lilifana lilikuwa lenye tabasamu haswa mpaka tukazaa watoto wa wili toka hapo penzi letu likawa limebadilika ghafla na kila unapohoji tatizo leo atasema hili kesho hili.
Nilijitahidi sana kumvumilia nikijua atabadilika lakin haikuwa hivyo ikafikia hatua akaanza kunipangia tendo la ndoa inafika hata miez 3 ye hata hana habar na kila ukihoji ni kauli mkato kuna siku alichelewa kurud akarud kama saa tano usiku, akakuta nimekaa kivalandani nacheki movie huku nikitafuna muhogo.
Basi akaingia ndani bila salamu mwisho akaingia chumban akachange nguo fasta akaenda kuoga alivyo maliza basi nikajipendekeza nikampa salamu kiupole habari ya muda huu akapiga kimya.
Mimi ni kijana ambaye nilibahatika kuoa mapema nikiwa na miaka 21 na mpaka nafanya hayo nilikuwa na miaka 29 mwanzoni mwa penzi letu lilifana lilikuwa lenye tabasamu haswa mpaka tukazaa watoto wa wili toka hapo penzi letu likawa limebadilika ghafla na kila unapohoji tatizo leo atasema hili kesho hili.
Nilijitahidi sana kumvumilia nikijua atabadilika lakin haikuwa hivyo ikafikia hatua akaanza kunipangia tendo la ndoa inafika hata miez 3 ye hata hana habar na kila ukihoji ni kauli mkato kuna siku alichelewa kurud akarud kama saa tano usiku, akakuta nimekaa kivalandani nacheki movie huku nikitafuna muhogo.
Basi akaingia ndani bila salamu mwisho akaingia chumban akachange nguo fasta akaenda kuoga alivyo maliza basi nikajipendekeza nikampa salamu kiupole habari ya muda huu akapiga kimya.