Niliposema upinzani unahitaji kuongozwa na watu wa aina ya Godbless Lema, taratibu mtaanza kunielewa

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,314
152,113
Hapa mtandaoni imeletwa taarifa kuwa Mahakama ya Kisutu imekanusha kutoa amri ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam.Kama taarifa hii ni ya kweli, ni dhahiri CCM wamefanya haya wakijua tutaishia kutoa matamko ya kulaani bila kufanya chochote.

Kama haitoshi,hivi sasa wabunge wa UKAWA wa mkoa wa Dar-es'salaam wanakamatwa wakijua tutakaa vikao na kuja na tamko la kutaka Polisi kuacha kuwakama na zaidi tutaishia tu kulaani vitendo hivi.

Hivi tukitoa matamko ya kulaani wao wanapungukiwa na nini?Tangu UKAWA waanze kutoa matamko ya kulaani,tume-achieve nini kupitia matamko hayo?Huu ni udhaifu ambao hawa jamaa wameugundua na wanaotumia vizuri sana kutuhujumu.

Je,unajua ni kwanini hawashituki?Jibu ni rahisi sana nalo ni kuwa,hatuna viongozi wenye guts kama za kina Godbless Lema.


Angalizo:
Kwasasa ni kama tumechelewa na tukisema tuvae viatu vya watu kama kina-Godbess Lema,tunaweza kujikuta siku ya kumchagua Meya wengi wetu tukawa sehemu tofauti kabisa na tukashindwa hata kupiga hiyo kura yenyewe maana tutakuwa tumewapa sababu ya kufanya yao.

NB:
Godbless Lema nimemtumia kama mfano tu maana naamini wengi wetu mnaelewa guts na misimamo ya huyu mh.
 
Hapa mtandaoni imeletwa taarifa kuwa Mahakama ya Kisutu imekanusha kutoa amri ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam.Kama taarifa hii ni ya kweli, ni dhahiri CCM wamefanya haya wakijua tutaishia kutoa matamko ya kulaani bila kufanya chochote.

Kama haitoshi,hivi sasa wabunge wa UkAWA wa mkoa wa Dar-es'salaam wanakamatwa wakijua tutakaa vikao na kuja na tamko la kutaka Polisi kuacha kuwakama na zaidi tutaishia tu kulaani vitendo hivi.

Hivi tukitoa matamko ya kulaani wao wanapungukiwa na nini?Tangu UKAWA waanze kutoa matamko ya kulaani,tume-achieve nini kupitia matamko hayo?

Huu ni udhaifu ambao hawa jamaa wameugundua na wanaotumia vizuri sana.

Je,unajua ni kwanini hawashituki?Jibu ni rahisi sana nalo ni kuwa,hatuna viongozi wenye guts kama za kina Godbless Lema.


Angalizo:
Kwasasa ni kama tumechelewa na tukisema tuvae viatu vya watu kama kina-Godbess Lema,tunaweza kujikuta siku ya kumchagua Meya wengi wetu tukawa sehemu tofauti kabisa na tukashindwa hata kupiga hiyo kura yenyewe maana tutakuwa tumewapa sababu ya kufanya yao.

NB:
Godbless Lema nimemtumia kama mfano tu maana naamini wengi wetu mnaelewa character za huyu mh.
Kwani Mahakama za kimataifa haziwahusu Watanzania? Ukawa wamepigwa marufuku kufika The Hague ? ? Mbona hawaendi kulalamika hata kwenye Taasisi za kimataifa za haki za binadamu?? Njia mojawapo ya kupeleka ujumbe kimataifa ni kuwashitaki ccm kila kona Duniani.
 
Tamko la kulaani halitasaidia kitu hata ukawa watoe Laana wakiwa watupu bila nguo, Laana haina nafasi mbele ya ccm iliyosheheni waonevu wasio na haya.
 
Godbless Lema anacho kipaji cha kuongea, ni kipaji walichonacho wanasiasa wengi wa kizazi cha baada ya uhuru, maongezi bila ya mtu kuonyesha vision ya ufanikishaji wa kile kinachoongelewa ni sawa na kile kipindi cha mazungumzo baada ya habari. Ufundi wa kuongea bila ya busara itakayoisaidia jamii kuweza kuvuka kutoka katika hatua moja ya kimaisha kwenda nyingine, ni upotezaji wa muda. Godbless Lema ni mropokaji kama walivyo wanasiasa wengi walioanza kupata akili katika karne hii ya sasa.

Bado ni kijana kisiasa, mihemko inamsumbua sana maishani, anahitaji miaka angalau mitano au zaidi, akiwa sehemu ya bunge ili aweze kukua na aweze kuwa na mchango unaoonekana katika kuijenga nchi ambayo bado iko ndani ya ndoto za watanzania walio wengi.
 
Kwani Mahakama za kimataifa haziwahusu Watanzania? Ukawa wamepigwa marufuku kufika The Hague ? ? Mbona hawaendi kulalamika hata kwenye Taasisi za kimataifa za haki za binadamu?? Njia mojawapo ya kupeleka ujumbe kimataifa ni kuwashitaki ccm kila kona Duniani.
Wewe hujaelewa nini kinachotakiwa kufanyika.Msingi wa kiburi cha hawa jamaa ni sisi wenyewe na viongozi wetu wa upinzani kuwa wapole mpaka tunaonekana malofa.
 
Hivi zile kesi zake za wizi wa magari Arusha ziliisha au jamaa bado mpigaji usiku na mchana ni mbunge?
 
Umeongea Point Sana Mkuu.. Tumekua wanyonge mno! Hivi ni kweli sisi kila uchwao ni Watu waliojaa simanzi za kisiasa mioyoni tu? Tunapokwa haki yetu peupe Kabisa tunabaki kusimama na kushikilia viuno huku tukisema "Ni mapenzi ya Mungu?" Watoto wetu wanajifunza nini kutoka kwetu? Zingekua zama zile za ukoloni na hivi tulivyo lonya-lonya tungeweza kumfukuza mkoloni kweli? Tungeweza kutumia maji Kama dawa ya kujikinga dhidi ya risasi kweli?

Kila nikikumbuka yaliyotokea ile 25/10/2015 hua nasononeka Sana, nikiwaza ya Zanzbar na sasa ya Umeya Dar na Tanga kwakweli moyo wa kizalendo na mapenzi ya kweli kwa nchi yangu vimeyeyuka kabisa! Nimekata tamaa kiasi kwamba nawaza na Mimi niwe opportunist tu. Niangalie yangu na familia yangu tu! Huyu mtu anaitwa Tanzania ataniua kwa BP bure.
 
Kwani Mahakama za kimataifa haziwahusu Watanzania? Ukawa wamepigwa marufuku kufika The Hague ? ? Mbona hawaendi kulalamika hata kwenye Taasisi za kimataifa za haki za binadamu?? Njia mojawapo ya kupeleka ujumbe kimataifa ni kuwashitaki ccm kila kona Duniani.
Kama Maalimu Seif anavyofanya......!!
 
Godbless Lema anacho kipaji cha kuongea, ni kipaji walichonacho wanasiasa wengi wa kizazi cha baada ya uhuru, maongezi bila ya mtu kuonyesha vision ya ufanikishaji wa kile kinachoongelewa ni sawa na kile kipindi cha mazungumzo baada ya habari. Ufundi wa kuongea bila ya busara itakayoisaidia jamii kuweza kuvuka kutoka katika hatua moja ya kimaisha kwenda nyingine, ni upotezaji wa muda. Godbless Lema ni mropokaji kama walivyo wanasiasa wengi walioanza kupata akili katika karne hii ya sasa.

Bado ni kijana kisiasa, mihemko inamsumbua sana maishani, anahitaji miaka angalau mitano au zaidi, akiwa sehemu ya bunge ili aweze kukua na aweze kuwa na mchango unaoonekana katika kuijenga nchi ambayo bado iko ndani ya ndoto za watanzania walio wengi.
Kuna wabunge na wanasiasa wakongwe je wameisaidia vipi jamii? Mfano Wasira, kipi watanzania watakikumbuka?
 
Umeongea Point Sana Mkuu.. Tumekua wanyonge mno! Hivi ni kweli sisi kila uchwao ni Watu waliojaa simanzi za kisiasa mioyoni tu? Tunapokwa haki yetu peupe Kabisa tunabaki kusimama na kushikilia viuno huku tukisema "Ni mapenzi ya Mungu?" Watoto wetu wanajifunza nini kutoka kwetu? Zingekua zama zile za ukoloni na hivi tulivyo lonya-lonya tungeweza kumfukuza mkoloni kweli? Tungeweza kutumia maji Kama dawa ya kujikinga dhidi ya risasi kweli?

Kila nikikumbuka yaliyotokea ile 25/10/2015 hua nasononeka Sana, nikiwaza ya Zanzbar na sasa ya Umeya Dar na Tanga kwakweli moyo wa kizalendo na mapenzi ya kweli kwa nchi yangu vimeyeyuka kabisa! Nimekata tamaa kiasi kwamba nawaza na Mimi niwe opportunist tu. Niangalie yangu na familia yangu tu! Huyu mtu anaitwa Tanzania ataniua kwa BP bure.
Itamchukua Mtanzania miaka mingi sana kuelewa haki zake!!
 
Fuatil
Godbless Lema anacho kipaji cha kuongea, ni kipaji walichonacho wanasiasa wengi wa kizazi cha baada ya uhuru, maongezi bila ya mtu kuonyesha vision ya ufanikishaji wa kile kinachoongelewa ni sawa na kile kipindi cha mazungumzo baada ya habari. Ufundi wa kuongea bila ya busara itakayoisaidia jamii kuweza kuvuka kutoka katika hatua moja ya kimaisha kwenda nyingine, ni upotezaji wa muda. Godbless Lema ni mropokaji kama walivyo wanasiasa wengi walioanza kupata akili katika karne hii ya sasa.

Bado ni kijana kisiasa, mihemko inamsumbua sana maishani, anahitaji miaka angalau mitano au zaidi, akiwa sehemu ya bunge ili aweze kukua na aweze kuwa na mchango unaoonekana katika kuijenga nchi ambayo bado iko ndani ya ndoto za watanzania walio wengi.
Fuatilia hutoba za Lema na matendo yake, is far better CCM mp's, hiyo mihemuko uisemayo sijui ni ipi
 
Tuwe waangalifu wasije wakapata sababu ya kutumia risasi za moto maana huenda hilo ndilo wanalolitaka
 
Hapa mtandaoni imeletwa taarifa kuwa Mahakama ya Kisutu imekanusha kutoa amri ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam.Kama taarifa hii ni ya kweli, ni dhahiri CCM wamefanya haya wakijua tutaishia kutoa matamko ya kulaani bila kufanya chochote.

Kama haitoshi,hivi sasa wabunge wa UKAWA wa mkoa wa Dar-es'salaam wanakamatwa wakijua tutakaa vikao na kuja na tamko la kutaka Polisi kuacha kuwakama na zaidi tutaishia tu kulaani vitendo hivi.

Hivi tukitoa matamko ya kulaani wao wanapungukiwa na nini?Tangu UKAWA waanze kutoa matamko ya kulaani,tume-achieve nini kupitia matamko hayo?Huu ni udhaifu ambao hawa jamaa wameugundua na wanaotumia vizuri sana kutuhujumu.

Je,unajua ni kwanini hawashituki?Jibu ni rahisi sana nalo ni kuwa,hatuna viongozi wenye guts kama za kina Godbless Lema.


Angalizo:
Kwasasa ni kama tumechelewa na tukisema tuvae viatu vya watu kama kina-Godbess Lema,tunaweza kujikuta siku ya kumchagua Meya wengi wetu tukawa sehemu tofauti kabisa na tukashindwa hata kupiga hiyo kura yenyewe maana tutakuwa tumewapa sababu ya kufanya yao.

NB:
Godbless Lema nimemtumia kama mfano tu maana naamini wengi wetu mnaelewa guts na misimamo ya huyu mh.
Yaani mzee wa viroba ndo jembe??
 
Hapa mtandaoni imeletwa taarifa kuwa Mahakama ya Kisutu imekanusha kutoa amri ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam.Kama taarifa hii ni ya kweli, ni dhahiri CCM wamefanya haya wakijua tutaishia kutoa matamko ya kulaani bila kufanya chochote.

Kama haitoshi,hivi sasa wabunge wa UKAWA wa mkoa wa Dar-es'salaam wanakamatwa wakijua tutakaa vikao na kuja na tamko la kutaka Polisi kuacha kuwakama na zaidi tutaishia tu kulaani vitendo hivi.

Hivi tukitoa matamko ya kulaani wao wanapungukiwa na nini?Tangu UKAWA waanze kutoa matamko ya kulaani,tume-achieve nini kupitia matamko hayo?Huu ni udhaifu ambao hawa jamaa wameugundua na wanaotumia vizuri sana kutuhujumu.

Je,unajua ni kwanini hawashituki?Jibu ni rahisi sana nalo ni kuwa,hatuna viongozi wenye guts kama za kina Godbless Lema.


Angalizo:
Kwasasa ni kama tumechelewa na tukisema tuvae viatu vya watu kama kina-Godbess Lema,tunaweza kujikuta siku ya kumchagua Meya wengi wetu tukawa sehemu tofauti kabisa na tukashindwa hata kupiga hiyo kura yenyewe maana tutakuwa tumewapa sababu ya kufanya yao.

NB:
Godbless Lema nimemtumia kama mfano tu maana naamini wengi wetu mnaelewa guts na misimamo ya huyu mh.
Kweli Bavicha hamna aibu kabisa na mmekosa adabu ina maana leo hii mbowe anaonekana ni kamanda mdebwedo mbele ya Lema?

Hivi mnadhani sifa ya uongozi ni kuvuta bangi na kuropoka?
 
Kweli Bavicha hamna aibu kabisa na mmekosa adabu ina maana leo hii mbowe anaonekana ni kamanda mdebwedo mbele ya Lema?

Hivi mnadhani sifa ya uongozi ni kuvuta bangi na kuropoka?
Busara zake mnazitumia vibaya na sasa imetosha.
 
Back
Top Bottom