Nilipo okoka

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,692
Reaction score
14,078
Nikaanza kukumbuka dhambi nilizowahi kufanya na kutubu.
Cha ajabu nimekuwa na uwezo wa kukumbuka moja baada ya nyingine.
Lakini iliyonishangaza zaidi ni hii ya UZINZI...aisee kumbe nimetembea na wanawake wengi sana.
Wengi sana siwakumbuki majina lakini nawakumbuka sura,tukio na mahala nilipofanyia UZINZI.
Nikachukua kalamu na karatasi na kuanza kufanya hesabu....mpaka Sasa nimefikia 126 na bado naendelea kukumbuka.....
NOTE BEFORE:
hapa nimewajumuisha dada poa.
 
unaorodhesha ili iweje sasa
 
Muombe Mungu akusaidie usizikumbuke dhambi zako. Maana yeye mwenyewe amesema akitusamehe dhambi zetu ndio imetoka hiyo wala hatokaa azikumbuke tena. Sasa wewe kwa nini ujitese kuzikumbuka kumbuka?

Isa 43:25 SUV​

Mimi, naam, mimi, ndimi niyafutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitazikumbuka dhambi zako.
 
du!! sikililiza wimbo wa ferouz!!
 
Una kichwa kizuri nakusifu kuwakumbuka malaya zako wote na kuwatag!

Mi ni mwepesi sana wa kusahau.

Nadhani nikiokoka nitafanya 'toba jumuishi' ili kupurua dhambi zote kwa mkupuo bila kujihangaisha 'kusoti' majinana sura za wanawake, maana nna sahau sana na siwezi kukumbuka wote.
 
Amina mtumishi. Amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…