Nilikuwa napiga sana punyeto, naomba ushauri

claus2

Member
Jun 3, 2016
8
3
Jaman vijana wezangu mm nilikuwa napiga sana masterbation au kujichua sasa misuli ya uume wangu umelegea sana na ombeni ushahuri kwa yoyote anaejua dawa ili nilejee kama awali
 
ivi ulilegea unakuwaje??

kama ile ya bata ama inakuwa tofauti
 
Jamaani mtu akipost kitu anakuwa anategemea sanaa kupata majibu na ufumbuzi wa Changamoto yake so tujitahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…