Poz bizo swaxter
Member
- Feb 27, 2013
- 46
- 3
Hapo kwenye bold ndio nini?malaya kwanza kufika town kwa rafiki wa #Baba {mungu amrehemu} nikaomba kwenda chooni kuingia tu kwanza nika vua gulubasi jinsi marumaru inavo ng'aa choo kina nukia vizuri baada ya kukojoa ktk lile cnk hata ckujua kama kuna kumwaga maji wala kuflash kwa kuvuta ile kamba me nime zoe choo cha ku risasi pemben kulikua na ndoo ya blue imejaa maji masafiiii juu yake kuna kijibomba kifu afu kombe kubwa lina elea nilikua na kiu toka njian nika piga kumbe 1 la ushnd n kkumbuka huwa na fyonza tu!
Nahisi umepotea njia!
Hapo kwenye bold ndio nini?
pliz,teli as anaza sitori
Umenishangaza umeanza thread yako na neno 'malaya'. Malaya ni nani Poz bizo swaxter?Hapo ni Baba Shieka kwan vp?
Umenishangaza umeanza thread yako na neno 'malaya'. Malaya ni nani Poz bizo swaxter?
i don i've!
Watoto wa facebook utawajua tu eti I don I've ndo nini sasa. Kingereza chenyewe hujui mikwara mingi.
ha ! Ha ha Ha! Kilazaaa hizo abbreviations za kitaa m2pori kama wewe n vgum sana kuni elewa
kwa mala ya kwanza kufika town kwa rafiki wa #Baba {mungu amrehemu} nikaomba kwenda chooni kuingia tu kwanza nika vua gulubasi jinsi marumaru inavo ng'aa choo kina nukia vizuri baada ya kukojoa ktk lile cnk hata ckujua kama kuna kumwaga maji wala kuflash kwa kuvuta ile kamba me nime zoe choo cha ku risasi pemben kulikua na ndoo ya blue imejaa maji masafiiii juu yake kuna kijibomba kifu afu kombe kubwa lina elea nilikua na kiu toka njian nika piga kumbe 1 la ushnd n kkumbuka huwa na fyonza tu!
Kasema kweli hata username yako ina reflect umri wako Nina uhakika uko under 23
Huo mwandiko sijui kwenye karatasi unakuwaje
duh sasa mtani toa damu wadau!