Nilijua nimeshatoka...

wabongo ndo ivo tena utakuta uyo aliyekuwa anakuuliza kingereza kigumu nayeye yuko shalo kama wewe ila kwasababu yeye ndo muulizaji kashakesha na dictionary kakremu misamiati yake kadhaa ndo anakuja kukunyanyasia wewe
ila na wewe shalo vile vile
 
Niliwahi kupiga usaili na Wakenya...........washenzi sana wale jamaa
Usaili wa kwanza watu kama 50 tulifanyiwa na wabongo fresh tu, wakachujwa. usaili wa pili tulikuwa 12 tukakutana na Wakenya watupu.........jasho lilinitoka, kwanza wanaanza kukuharibia mudi baada ya swali la kwanza tu kuwa unakiingereza kibovu.........the wanaanza kukubana na maswali just for fun.........vicheko
Wakatujuja tukabaki 6, walikuwa wanatakiwa watu 2 sikurudi tena kwa interview ya mwisho nikaona nikomae na kazi yangu tu.
Baadae kampuni yenye ikafilia mbali
 
Ila kweli, ni tatizo letu waswahili kuprove tunajua kiingereza au lugha zingine za watu kwa kutumia misamiati. Ndipo hapo ubapojiuliza lengo la lugha hasa ni nini?

Nimefindishwa na wazungu na kufanya nao kazi, wanatumia lugha rahisi sana! Jana nilikuwa namsikiliza Hilary Clinton, lugha yake hadi raha.

Ngoja aje Kiranga na wenzake hadi kero!

ioci causa

The preposterously unutterable unshamedfacedness, unfathomably appalling, mediocrity embracing, name dropping, unsolemnly uncouth and characterless juxtaposition of these slothful unremarkarble remarks with the august name of that venerable anti-pope is surpassed only by the inherent imbecility of the author.
 
Kwa upande wangu kwanza nakupa pole kijana. Pia napenda kuungana na Mr. Mbumbumbu na comment yake nzuri sana ingawa sijui kwanini anajiita mbumbumbu. Kwenye usaili kikubwa ni ujasiri, relaxing, na umakini.

NAKUTAKIA SAFARI NJEMA UTAFANIKIWA KAKA. PAMOJA
 
Mi mwenyewe imenitokea...kujibu tu swali la kwanza wakaanza kunikosoa...sijui relax mara hujui kiingereza, hapo wakaniharibia mud kabisa. Muda mwingine wanakuwa tayari na watu hivyo wanatafutia mtu sababu za kushindwa...

teh teeeh! Haaah, haaaaaaa.....!
 
Wa tz cjui tumelogwa na nani?niliitwa kwenye interview na nimetoka mbali from nanyumbu mtwara huko cyo halafu nimepigiwa cm j5 natakiwa dsm ijumaa nimejitahidi nimefika dsm but nimechoka vibaya nimeingia kwenye interview nikakuta wazungu 2 mbongo mmoja coz ni mara 1 kupga interview nilikua nnahofu kinoma na wale wazungu ikizingatia english yenyewe ya kuungaunga lakini cha ajabu wale wazungu walikua wanajitahidi kuongea english rahisi hili niwaelewe na nilikua nna wajibu fresh hla huyo mswahili alikua anaongea english km ananikoma misamiati migum yaani nnarudi gheto nnacheki kamusi ni vitu vinaeleweka niliulizwa maswali 8 mzungu 3 mbongo 5 ya mzungu nimepga ya mtz yote nimein

pole mwaya nakuelewa sana tena sana
 
Wabongo full kubaniana, huyo mbongo alikuwa anakukomoa labda tayari alikuwa ana mtu wake akataka wewe uchemshe....

kweli kabla sijaingia kwenye interview wafanyakazi wa pale waliniambia hvyo hvyo kwamba kuna ukabila na huyo mtz niliambiwa omba mungu usimkute huyo jamaa nikajua jamaa wananitisha tu nilivyotoka jamaa wananiambia umeona eeh?
 
Pole sana Kaka! hao ndiyo wabongo bwana.
Ngoja niwape kisa cha kweli kilichonipata 1day. Niliwahi kukomeshwa kwny interview 1 kaka wewe tena zaidi ya hapo,ila ki ukweli I was vry confident bz kwny hiyo fani nilikuwa na uhakika na ninachokifanya,Mimi nisemosomea mambo ya mipango (dvt Planning) jamaa walinizingua kinoma ili tu nikose,na kweli wakamuweka m2 wao,siku ya siku wenyewe waka nicolu eti waliniacha as reserve,nilivyoingia kwa kweli hakuna m2 aliekuwa anajua chochote jinsi ya kuandaa strategic plans,bajeti na vi2 ka hvyo, walikuwa kila dili lazima wanipeleke nikafanye.baada ya muda mi nikapata dili sehemu nyingine so, nikaamua kuwapiga chini.U no wht happened? wakanijia na full packege heti ili nibaki na mm nikawalingia, baada ya hapo wananipa dili as consultant na nawakamua kwelikweli.
So huyo jamaa alie kukomesha wewe usikonde ipo siku utapata mahali pako
 
Wabongo full kubaniana nilipiga interview na Mghana akanikubali nikaambiwa taharifa zangu zitpelekwa kwa HR kwa hatua zaidi.
Mchakato wote tokea kuitwa interview ya 1 na 2 zote nilipigiwa simu ila siku ya kwenda kuongea na HR ambaye ni Mbongo ili nisaini contract na anipe taratibu za kazi nilitumiwa email saa nne usiku kwamba naitajika pale ofisini saa mbili kamili asubuhi. Nimeiona email mchana nikawapigia wasema siko serious hivyo nafasi yangu kapewa mtu mwingine.
Huyu HR naamini alifanya makusudi hakijua sina internet full time kama njia rahisi ya kunitosa. Hivyo ndo Wabongo tunabaniana wakishakuwa na watu wao watatafuta mbinu zozote za kukuondoa.
 
Wa tz cjui tumelogwa na nani?niliitwa kwenye interview na nimetoka mbali from nanyumbu mtwara huko cyo halafu nimepigiwa cm j5 natakiwa dsm ijumaa nimejitahidi nimefika dsm but nimechoka vibaya nimeingia kwenye interview nikakuta wazungu 2 mbongo mmoja coz ni mara 1 kupga interview nilikua nnahofu kinoma na wale wazungu ikizingatia english yenyewe ya kuungaunga lakini cha ajabu wale wazungu walikua wanajitahidi kuongea english rahisi hili niwaelewe na nilikua nna wajibu fresh hla huyo mswahili alikua anaongea english km ananikoma misamiati migum yaani nnarudi gheto nnacheki kamusi ni vitu vinaeleweka niliulizwa maswali 8 mzungu 3 mbongo 5 ya mzungu nimepga ya mtz yote nimein

Usikonde ndugu,kutokujua kizungu vizuri sio mwisho wa maisha.....English ni lugha tu kama nyingine sema wabongo tunaona kuonekana tunaongea kizungu ni usomi.....kaza buti neema yako iko mlangoni...usikate tamaa.
 
Usikonde ndugu,kutokujua kizungu vizuri sio mwisho wa maisha.....English ni lugha tu kama nyingine sema wabongo tunaona kuonekana tunaongea kizungu ni usomi.....kaza buti neema yako iko mlangoni...usikate tamaa.

Kweli ndugu yangu nna amini hvyo ilikua cyo riziki yangu,sababu siyo km english sijui kabisa maana ningekua cjui kabisa hata kujielezea sidhani kama hata chuo ningemaliza,hla kuitwa kwenye interview pia ni mafanikio kuna watu tangu wamalize chuo hawajawi hata kuitwa kwenye interview.
 
huyo HR ni mhuni
mawasiliano yoyote yanayohusiana na kazi yanapswa kutumwa muda wa kazi yaani saa za kazi
na pia wanatakiwa waangalie njia rahisi kukufkia kama simu
huu ni ujinga ndio maana hatutakaa tuendelee tanzania
laana iko juu yake huyo baradhuli asiezingatia miiko ya rasilimali watu.
Usikonde ndugu,kutokujua kizungu vizuri sio mwisho wa maisha.....English ni lugha tu kama nyingine sema wabongo tunaona kuonekana tunaongea kizungu ni usomi.....kaza buti neema yako iko mlangoni...usikate tamaa.
 
usiogope. Siku nyingine ukiitwa kwenye intavw usimwogope yeyote kwenye pannel. Cha kwanza ukiingia, jenga ujasiri akilini na moyoni mwako kwamba HII KAZI NI YANGU af washushe wote uwaweke kwenye levo ya baba, mama kaka au dada zako ambao uko huru kuongea nao bila hofu.

Swali lolote utakaloulizwa hata kama ni gumu jitahidi useme lolote, PIGA SIASA, si unajua staili ya wale watu wa mjengoni hata ukimkurupusha hawezi akakosa cha kukuambia. Jaribu mbinu hii
 
usiogope. Siku nyingine ukiitwa kwenye intavw usimwogope yeyote kwenye pannel. Cha kwanza ukiingia, jenga ujasiri akilini na moyoni mwako kwamba HII KAZI NI YANGU af washushe wote uwaweke kwenye levo ya baba, mama kaka au dada zako ambao uko huru kuongea nao bila hofu.

Swali lolote utakaloulizwa hata kama ni gumu jitahidi useme lolote, PIGA SIASA, si unajua staili ya wale watu wa mjengoni hata ukimkurupusha hawezi akakosa cha kukuambia. Jaribu mbinu hii

Asante sana umenifumbua hata mimi ntajaribu hiyo staili sio siri wabongo wanabana. ili niwe na HR mzuri cwenye foundation yangu nayoanzisha ntaajiri outsiders na exp hatuzingatii, mtu wa cwanza cufanya worc alipata wapi exp?
 
Ila kweli, ni tatizo letu waswahili kuprove tunajua kiingereza au lugha zingine za watu kwa kutumia misamiati. Ndipo hapo ubapojiuliza lengo la lugha hasa ni nini?

Nimefindishwa na wazungu na kufanya nao kazi, wanatumia lugha rahisi sana! Jana nilikuwa namsikiliza Hilary Clinton, lugha yake hadi raha.

Ngoja aje Kiranga na wenzake hadi kero!
Nakuunga mkono hapo kwenye red...... jamaa huwa anaandika mabombastic tupu.......
 
Niliwahi kupiga usaili na Wakenya...........washenzi sana wale jamaa
Usaili wa kwanza watu kama 50 tulifanyiwa na wabongo fresh tu, wakachujwa. usaili wa pili tulikuwa 12 tukakutana na Wakenya watupu.........jasho lilinitoka, kwanza wanaanza kukuharibia mudi baada ya swali la kwanza tu kuwa unakiingereza kibovu.........the wanaanza kukubana na maswali just for fun.........vicheko
Wakatujuja tukabaki 6, walikuwa wanatakiwa watu 2 sikurudi tena kwa interview ya mwisho nikaona nikomae na kazi yangu tu.
Baadae kampuni yenye ikafilia mbali
lol mkuu wangu paulss umenifurahisha sana!!
Kwanza vipi za masiku kibao??

Hiyo story yako imenikumbusha Mkenya flani, hawa jamaa kweli wanapenda sana kutupima Watz kwa imani yao ya kijinga kuwa watz hatujui ngeli na hatuna ujasiri wa kuongea kama wao....

Wakaniita kwenye usaili kwenye kakampuni kao pande za Msasani, nikakutana na MD mwenyewe ofisini kwake.
Kufika tu baada ya kuangalia vyeti vyangu akaanza kukikosoa chuo oohh hawa wanaandaa vyeti vya viwango vya chini sana, nikamwambia nionyeshe vya viwango vya juu, hakuamini akatoa macho...

Baada ya hapo akaanza kuikosoa jina la course niliyosomea eti haitakiwi kuwa Art bali ni Science, hapo ndio ligi ilianza sasa kwamba kitu gani ni Art na kipi ni Science.

Nilimpinga kila alichosema na nilikuwa namuambia wewe hujui fani yangu ndio maana unataka mtu wa kukusaidia katika kampuni yako na huyo mtu ni mimi vinginevyo utapata mazoba utakaowapeleka na matokeo ufanisi hutopata sababu hujui na unajidhania unajua hivyo huwezi pata matokeo ya eneo husika.

Jamaa alichukia sana.

Hawa watu wanasumbua sana, na dawa yao ni kuwa aggressive zaidi yao basi hapo utamuweza mkenya.
 
Last edited by a moderator:
Wabongo tatizo lao kubwa wanatangaza nafasi wakati ayali wanamtu wao wanayemfikiria kunakuwa, hakuna usawa kabisa, jamani ma hr acheni hizo.
 
wakuu nimecheka sana na umbumbumbu wa baadhi ya interviewers wa tz na kenya, waingereza wenyewe wanatumia lugha nyepesi ili kutimiza lengo la ujumbe kuwafikia wengi, angalia lugha za magazeti ya the sun, bbc, cnn halafu angalia the guardian na taarifa za habari kwa lugha ya kiingereza itv, tbc.
kuna interview moja nilimjibu jamaa "English is my 3rd language". Mbaya zaidi huwa wanatumia misamiati ambayo imepitwa na wakati na hata waingereza wenyewe wa kizazi kipya hawaifahamu
 
Back
Top Bottom