utakuwa umejibebesha hatia ya damu bure damu ya mtoto wako itakullia siku zote labda kama hupendi watoto,after all hicho kisai sio haki kama unataka na wewe si umuwekee laudi spika sasa hivi ukiwa na washkaji wako akiwa anajikanyaga na yeye achekwe kama wewe?