mapishimigu
Member
- Jul 29, 2013
- 13
- 1
Wapinzani (Ukawa) unganisheni nguvu zenu kuhakikisha uchaguzi wa 2015 mnashinda nafasi ya urais ili rasimu ya warioba irudi katika mjadala ..vingnevyo kilichopatikana leo kule bungeni kwa akina 6 ni haramu na wanaonesha hawana mapenzi mema na sisi raia wa hali ya chini..