Nilichojifunza kuhusu punyeto

Jaman punyeto zinahasara zaidi kuliko faida nakumbuka mm nilikuwa mpiga puli maarufu wkt nachipukia miaka ya 1980 lkn madhara yake yananitokea sas kwani mzee mzima nikishaina shavu la papuchi tu hali inakuwa mbaya sana kwani nikipiga push up mbili tu naona wadudu hao wanakuja isitoshe ili niweze kuendelea natendo nalazimika nikojoe nje!! Maana nikikojoa ndani dushelele likishalala inanichukua saa nzima kusimama tena!! Mm nilikuwa napiga puli kwakutumia mate tu hasa ninapokuwa kuchunga ng'ombe kijijini, Wapendwa hivi sasa kwa ajili yakulinda ndoa yangu huwa nalazimika kufikiria madeni yote ninayodaiwa pindi tu nikiwa kwenye 6 kwa 6 na wife ili kujisahaulisha kidogo nakweli hii mbinu inanisaidia sana mpaka wife anakojoa sasa kimbembe nipale nikikutana na papuchi mpya kila nikijitahidi kufikiria madeni nakwama kutokana na ugeni wamtu niliyenae sasa kidume nalazimika nijiongeze kwa kuingia chumvini kwa muda mrefu japokuwa mate yanajaa mdomoni huwa navumilia mpaka nimfikishe kunako mwenzangu, jamani chondechonde achana na Puli inamadhala makubwa sana
 
Usiombe yakukute mkuu unaitamani papuchi lkn ndy hivyo tena huwezi kufanya chochote hata ukisindikiza na kidole wapi[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ila tuongee ukweli hivi kuna mwanaume hajawahi pitia punyeto[emoji6], na kuacha huwa inakuwaga mbinde sana hii nimeona kwa watu wengi sana
 
Nitakufa Lini, umenikumbusha boys mi nimeondoka hapo 1999.Ilikua unaoga then unaona vitu vyeupe msululu vikitokea mabafu ya jirani then na mimi naunga msafara.Hii kitu mi nahisi wanaume rijali wengi sana kama sio wote wamepitia kwa njia moja au nyingine.
 
ASIGWA ASIGWA ASIGWA njoo uku uwaokoe vjana uku, mawazo yako n muhmu sana uku. long life ASIGWA udhi wako ndo ulintoa CHAPUTA na kwa sasa n mstaafu. ulinitia moyo hadi nakumbuka msg zako za kunitia moyo had nkaacha mchezo huu mchaf leo nafurahia ndoa yang
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Mmm pale mabibo tumepiga sana block E na C mmmm ni sheedaaa
 
Hahaha kumbe[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
nimecheka mpaka basi kweli puli sio zuri
 
CHAPUTA Hoyeeeeeee... PUGU boys mpo, bafu kubwa kama bweni ukiingia ndani lazima ukute utelezi.... Kuna ile team ya kuoga Usiku, hao ndio wapiga puchu ila wakaazi wa Mabweni ya Mapinduzi ndio Top. 24 hrs watu wanahudhuria bathroom..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…