yaani kaka mimi sijaelewa kabisa hapa unamaanisha nini!!Kazi ni Kazi ya freestyle ilimradi tu inalipa...
Ukiifanya kiuhakika...
Naamini mambo yatajipa...
Kama kwa kitu watu wanakipa...
KIMENTALI au KISOMI, iwe kwa BODA au kwa PIPA...
ktk story yako me nahisi kuna baadh ya nyama nyama hujajazia, embu fafanua zaid ili uhondo uwe mahala pake.. hapo kwenye kuazima cheni fafanua zaidi.Mi mpaka sasa napiga dada na ndugu yake wa baba kwa mama na wanaishi nyumba moja, na wote wanajuana ila namna ya kuniacha hawana wote nmewatoa bikra, na wanaazimana cheni ya kiuno mmoja ninapomuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haaa.Jf nimekuwa msomaji wa muda, ila kuna wadau watakao nisaidia kuyapanga mafaili ???
Yan wewe umependa tu hapo kwenye kuazima cheni!!ktk story yako me nahisi kuna baadh ya nyama nyama hujajazia, embu fafanua zaid ili uhondo uwe mahala pake.. hapo kwenye kuazima cheni fafanua zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi huyo mpenzi wako hakuwa anakupenda na angekusaliti tena baada ya kupata mtu sahihi kwake. Anayekupenda kwa dhati hata uwe na makosa mengi ya kukuacha atatafuta sababu moja ya kuwa na wewe hasa wanawake.Miaka iliyopita Niliwahi kuwa na uhusiano na bint aliyekuwa Mwanafunzi wa chuo Fulani ,Kisha uhusiano ukavunjika kutokana na yeye kuleta usaliti na kuanza uhusiano na mwanaume mwingine, Mimi nikamformat nikaendelea zangu na Harakati zangu.
Baada ya Kama Mwezi mmoja akanitafuta na kuomba turudi katika uhusiano ikiwemo kuniomba msamaha, Mimi nikamkubali uhusiano ukaanza upya tena ukanoga na kuanzisha malengo ya ndoa.
Sasa, Siku Moja akamuweka bint katika status yake ndugu yake ambaye hata kabla ya kumfaham yeye huyo bint tuliosoma naye na nilikuwa nikimfukizia sana,nilipo muona nikatafuta mbinu nimnase nikafanikiwa kupata mawasiliono yake, nikaanza kumfukizia tena, kilichotokea alirespond vizuri ila mwishoe akapanic alipo jua Tayari na uhusiano na ndugu yake (binamu yake) na kuahidi atamwambia na uhusiano lazima ufe, so akamwambia, jitihada za kumpoza zikagonga Mwamba, akakataa kabisa nikakosa pote, baya zaidi wa zamani bado namkubali, na faili nimeshachanganya??
Jf nimekuwa msomaji wa muda, ila kuna wadau watakao nisaidia kuyapanga mafaili ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ni Kazi ya freestyle ilimradi tu inalipa...
Ukiifanya kiuhakika...
Naamini mambo yatajipa...
Kama kwa kitu watu wanakipa...
KIMENTALI au KISOMI, iwe kwa BODA au kwa PIPA...
Sikuwa na Muda wa kuweza kuja...Utanisamehe Brother Chuwa
Sikuja kukusabahi ulipokuwa unagua
Sikuwa na Muda wa kuweza kuja...
Sio kama sikujali niko busy naenda resi...
Nafanya DILI isio kafiri...
Muda utakapojiri tutaonana JUMAPILI...
Kwenyewe MSELA nataka PAPER...
Ni pekee inayofanya Mie nipate ninachotaka...
Umenipata Brother KAKA?...
Ofisini hatuajiriwi ndio sababu sasa nasafa...
Kwenye MZIKI Cash napata...
Mungu akubariki sanaKwa kifupi huyo mpenzi wako hakuwa anakupenda na angekusaliti tena baada ya kupata mtu sahihi kwake. Anayekupenda kwa dhati hata uwe na makosa mengi ya kukuacha atatafuta sababu moja ya kuwa na wewe hasa wanawake.
usipoteze muda kupanga mafile yenye virus chapa upya.