KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini siasa za Makamba nikagundua Anapwaya kwenye madaraka yake!!Sasa najiuliza kwanini anakuwa anatapatapa??Kabla ya kumaliza jambo yeye tayari amaisha shika hili??Je niuchovu wasiasa au nini!
Nanikaja kugundua ccm ilipo sasa anayesababisha ni huyu mzee nikajiuliza Mwenyekiti anaridhika na hii hali??Kweli sipati jibu Juzi nilikuwa na msikiliza Jackton Manyerere aliweza kuthubutu kusema ccm inameguka vipandevipande!Japo hapo nyuma hasingethubutu kusema hivyo nikashanga hata wana ccm wanaliona hili wakati Katibu kavaa miwani ya mbao isiyoruhusu kuona upande wapili!Nakaweka Pamba yenye n'nta kwenye masikio ili isiruhusu hata neno moja kufikia kwenye masikio yake!!Nakushindwa kuleta umoja kwenye ccm!!Huyu mzee ya bidi apumzike au mwenyekiti ampumzishe kuna watu wanaweza kuendesha chama kikubwa kama ccm wapo ccm!!Tusing'ang'anie kuosha injini wakati taa ya oil inawaka!!Injini ni mbovu!
Nanikaja kugundua ccm ilipo sasa anayesababisha ni huyu mzee nikajiuliza Mwenyekiti anaridhika na hii hali??Kweli sipati jibu Juzi nilikuwa na msikiliza Jackton Manyerere aliweza kuthubutu kusema ccm inameguka vipandevipande!Japo hapo nyuma hasingethubutu kusema hivyo nikashanga hata wana ccm wanaliona hili wakati Katibu kavaa miwani ya mbao isiyoruhusu kuona upande wapili!Nakaweka Pamba yenye n'nta kwenye masikio ili isiruhusu hata neno moja kufikia kwenye masikio yake!!Nakushindwa kuleta umoja kwenye ccm!!Huyu mzee ya bidi apumzike au mwenyekiti ampumzishe kuna watu wanaweza kuendesha chama kikubwa kama ccm wapo ccm!!Tusing'ang'anie kuosha injini wakati taa ya oil inawaka!!Injini ni mbovu!