tunaishi mikoa tofauti, naamini tunapendana, japo kuonana kwetu ni mara chache sana. kutokana na umbali na majukumu. sote ni watu wazima, aliwahi kuoa, akazaa watoto, it didnt work wakaachana. na mimi hali kadhalika. tulikubaliana kuoana kama tukiona mahusiano yanakwenda vizuri. japo mimi nilimwambia nisingependa tuoane halafu tuendelee kuishi mikoa tofauti, sio maisha ninayoyataka kwa umri wangu. nimeshaishi mwenyewe kiasi cha kutosha.
sote ni waajiriwa japo mimi kipato changu kimezidi cha kwake, hainipi tabu kwa sababu katika mahusiano huangalii kipato, kikubwa na maelewano. analalamikia kipato chake kila wakati kua hakitoshi hasa kusomesha watoto wake ambao bado wako shule, na pia kugawa inakua kazi, vile watoto wanasoma mkoa mwingine. tukakubaliana aache kazi aje tukae pamoja nilipo mimi ambapo ndipo na watoto wake walipo. tukawa tumeshapanga tayari nini atafanya. akatoa notice kazini kwake, lakini wakataa wakadai watamuongeza mshahara maana aliwaambia mshahara hautoshi. kweli akaongezewa mshahara, si kiasi kikubwa japo naona yeye karidhika na mipango ya kuhama haipo tena.
kwa hivyo kila tulichopanga kufanya tukiwa pamoja imekua ndoto maana sioni kama kuna dalili ya mtu kuja tena. nimekua muwazi kwake, na kumwambia kua, sitaweza kumsubiri tena maana siko tayari kuishi mwenyewe. nina miradi ambayo nilitaka yeye akiacha kazi asimamie na kufufua mingine na kuiweka sawa wakati anatafuta kitu chake mwenyewe cha kufanya, maana siku zote amekua akidai asingependa kujibwetesha kwenye miradi ambayo ni ya kwake. ila yuko tayari tuanzishe ya kwetu. sijui hili lina maana gani. maana mwisho wa siku ni vitu vyetu. hana imani tena na mimi maana anahisi nitamuacha na mimi nimemwambia he needs to make up his mind maana hatuwezi kuishi hivi tunavyoishi. kwa sasa maelewano si mazuri sana sababu ya hili tatizo ambalo ufumbuzi muafaka hatuna.
wana JF, naomba mniambie nani mwenye kosa hapa. mimi au yeye au wote wawili. au tutaishi hivi for how long. tuna miaka miwili sasa tangu tuwe kwenye mahusiano.
Mimi sioni mwandishi mzuri, lakini nina imani mmenielewa.
Kwa navyokujua, mida hii ungeshakuwa kwenye mlango wa bangaluu la John ukiambatana na dada zako, mabinamu na mama yako mkubwa. Ofkozi virago vyako vyote ungekuwa ushahamishia kwa mama yako.:confused2:narudi badae kidogo
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.
kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.
Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.
Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.
Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.
Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.
Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...
Love is not finding someone to live with; it's finding someone you can't live without...Da Asia hebu tulizana, kama huyo m-baba ameweza kumpenda mkewe na kumuoa na kuzaa naye watoto kabla yako atashindwa vipi kufanya na kwako pia kipindi hicho ikiwa umechoka na yeye akiwa ameona vibinti vibichi vingine??? mpende akupendaye, jaribu kumsaidia huyo Peter awe vile utakavyo wewe...muwezeshe na kumuelimisha ili ajiajiri, awe na maisha mazuri muishi pamoja. Kwa nijuavyo mimi...mwanamke au mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja ni MALAYA... vunja mtandao..tulizana.
Kwa navyokujua, mida hii ungeshakuwa kwenye mlango wa bangaluu la John ukiambatana na dada zako, mabinamu na mama yako mkubwa. Ofkozi virago vyako vyote ungekuwa ushahamishia kwa mama yako.:confused2:
We Da Asia, sikiliza ushauri wangu mie kikongwe babu ODM.OGOPASANA, naomba tu niweke wazi kua, mpaka naandika hapaa hakuna hata mmoja kati ya hawa wawili ambaye nimeshampa green light. ingekua hivyo wala nisingetaka nasaha zenu maana tayari ningekua nimeshafanya maamuzi.
Asante kwa ushauri.
monsieur go for Peter.because men of that type are very brave.Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.
kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.
Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.
Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.
Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.
Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.
Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...
nenda kwa john,john john ...achana na wauza sura...OGOPASANA, naomba tu niweke wazi kua, mpaka naandika hapaa hakuna hata mmoja kati ya hawa wawili ambaye nimeshampa green light. ingekua hivyo wala nisingetaka nasaha zenu maana tayari ningekua nimeshafanya maamuzi.
Asante kwa ushauri.
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.
kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.
Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.
Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.
Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.
Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.
Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...
Khaaa! Leo ndo nimejua definisheni ya jina Kongosho.... Kumbe kongosho inamaanisha Mchimvi!.......... hahahaha umeenda kupekua makabrasha... unamfaa sana Shigongo wewe.narudi badae kidogo
Nilisema ntarudi sababu nilikuwa nakumbuka hii story hapo chini, nadhani huyu ni Peter.
Si kila mwanamme anaweza ndoa, Peter ulishampa nafasi na akashindwa kuitumia, je unadhani sasa kaenda okota wapi akili ya kuwa mume?
Endelea na John, mapenzi yatajiset huko huko mkiwa ndani, wakati mwingine tunajifunza kupenda.
Khaaa! Leo ndo nimejua definisheni ya jina Kongosho.... Kumbe kongosho inamaanisha Mchimvi!.......... hahahaha umeenda kupekua makabrasha... unamfaa sana Shigongo wewe.
Tatizo Peter wa kule ni mwajiriwa na bibie kamzidi mshahara, huyu wa sredi hii ni mishen town. Labda Da Asia atuambie kumbe kuna njemba jingine la tatu liko kwenye list yake..... khaa!