Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,170
- 6,518
1. Ikitokea ajali au jambazi wafuatao wanashuka cheo na madaraka siku hiyo. RPC, RSO, RCO, RTO, OCD, DSO, DTO na OCD! mameneja wa tanroad na latra mikoa.
2. Askari wa usalama barabarani wa zamu eneo hilo nawasweka ndani mwezi yenye selo ya maji machafu.
3. Nitaongeza bajeti ya polisi kwa 200%
4. Kima cha chini cha Polisi kinakuwa 850,000/= bila makato, posho inakuwa 390,000/=, watajwa juu nawapa posho ya madaraka kati ya 500k hadi 1000k.
Leseni za mchongo naagiza zirejeshwe.
2. Askari wa usalama barabarani wa zamu eneo hilo nawasweka ndani mwezi yenye selo ya maji machafu.
3. Nitaongeza bajeti ya polisi kwa 200%
4. Kima cha chini cha Polisi kinakuwa 850,000/= bila makato, posho inakuwa 390,000/=, watajwa juu nawapa posho ya madaraka kati ya 500k hadi 1000k.
Leseni za mchongo naagiza zirejeshwe.