Habari mnaolalamika,
Hata atawale nani wa chama gani atafanya hivihivi tu, tatizo ni mfumo, DC na RC ni wasimamizi wakuu wa serikali/ ni amri jeshi wa maeneo yao, hawa huteuliwa na rais na wapo pale kwa matakwa ya chama tawala, wanauwezo wa kuamuru jeshi watakavyo.
Hivi mnategemea mimi kada niliyepewa mamlaka kusimamia ilani ya chama changu nikuruhusu wewe chama pinzani ujijenge nikiwa nakuona, nitakuzuia tu kwakuwa natambua utanisumbua nikikuacha ujipange.
Hata ingekuwa ni mimi ningekuwa DC au RC nisingeruhusu chama pinzani kuchukua point kwa wao kukutana maana jeshi lipo chini yangu nitashindwaje kupiga marufuku wakati uwezo ninao? Bora Mrema na chama chake watembee inchi nzima lakini UKAWA sitathubutu kuwaruhusu wasahau.
Updates;
Jeshi la police wapo sawa kabisa, police hufanya kazi kwa amri/order kutoka juu, sasa nashangaa wanaowalaumu, police ni watu wazuri sana lakini pamoja na hayo utii ndiyo kitu kikubwa kwako, unapoamuriwa kuwa piga, hupaswi kukataa hata awe babako mzazi, vinginevyo upige hewani kuzuga kumkosa lakini lengo nikupiga.
Naombeni msilaumu jeshi kamwe.
Hata atawale nani wa chama gani atafanya hivihivi tu, tatizo ni mfumo, DC na RC ni wasimamizi wakuu wa serikali/ ni amri jeshi wa maeneo yao, hawa huteuliwa na rais na wapo pale kwa matakwa ya chama tawala, wanauwezo wa kuamuru jeshi watakavyo.
Hivi mnategemea mimi kada niliyepewa mamlaka kusimamia ilani ya chama changu nikuruhusu wewe chama pinzani ujijenge nikiwa nakuona, nitakuzuia tu kwakuwa natambua utanisumbua nikikuacha ujipange.
Hata ingekuwa ni mimi ningekuwa DC au RC nisingeruhusu chama pinzani kuchukua point kwa wao kukutana maana jeshi lipo chini yangu nitashindwaje kupiga marufuku wakati uwezo ninao? Bora Mrema na chama chake watembee inchi nzima lakini UKAWA sitathubutu kuwaruhusu wasahau.
Updates;
Jeshi la police wapo sawa kabisa, police hufanya kazi kwa amri/order kutoka juu, sasa nashangaa wanaowalaumu, police ni watu wazuri sana lakini pamoja na hayo utii ndiyo kitu kikubwa kwako, unapoamuriwa kuwa piga, hupaswi kukataa hata awe babako mzazi, vinginevyo upige hewani kuzuga kumkosa lakini lengo nikupiga.
Naombeni msilaumu jeshi kamwe.