Nikimpata naoa.


Miaka 32 hujaoa? Mkuu ulikuwa umekalia kupiga MGALALA??
 
Hivi huwa mnatutania ama!! Mbona humu ndani kuna post ya mdada (Ummylove) anatafuta mume, na sasa upo wewe unasaka mke, ebu mtuambie; mmekwishawasiliana hamuendani au mnatuchora tu!!!
 
ok, got u, kuna mmoja yuko corner bar sinza, nikimwona nitamweleza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…