Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kila nikitaka kuacha bia nawafikilia Wananchi wenzangu ninaowapenda na ambao wanategemea mnyororo wa bia ili waishi.
1. Wakulima wa uwele na shairi ambayo ni malighafi ya kutengenezea bia.
2. Madereva na familia zao (na michepuko yao njia nzima) makampuni yanayosafirisha bia.
3. Wafanyakazi wa viwanda vya bia , walinzi n.k.
4. Wamiliki na wauzaji wa pubs , bars , clubs pamoja na wakusanya ushuru wao.
Wote hao wanafamilia , wanategemeana ili mambo yaende , watoto wasome etc.
Mhudumu niongezee safari mbili bariiiidi.
1. Wakulima wa uwele na shairi ambayo ni malighafi ya kutengenezea bia.
2. Madereva na familia zao (na michepuko yao njia nzima) makampuni yanayosafirisha bia.
3. Wafanyakazi wa viwanda vya bia , walinzi n.k.
4. Wamiliki na wauzaji wa pubs , bars , clubs pamoja na wakusanya ushuru wao.
Wote hao wanafamilia , wanategemeana ili mambo yaende , watoto wasome etc.
Mhudumu niongezee safari mbili bariiiidi.