Ukitaka mikutano ya lema itakubidi ukeshe sokoni na stand.
Mandhari ya jiji la Arusha ni bendera za ccm na magari ya matangazo ni ya ccm tu.
lema kapigwa na butwaa na mbaya zaidi ameshindwa hata kutekeleza agizo la mamvi la kwenda Tanesko kufuatilia umeme.
Mwisho wa lema Arusha umefika kwani hana alilotekeleza zaidi ya kuongoza maandamano tu akishirikiana na wafanyabiashara ndogondogo kutoka moshi.
Ambulance aliyoahidi haijaletwa na ameishia kuchukua ambulance moja kutoka kwa nassari ili kuhadaa umma.
Machinga complex hatujaiona
Hospitali ya mpya ya manispaa hatujsiona
General tyre hakijaeleweka.
Mama ntilie wako vile vile.
Kwa ufupi lema hana alilotekeleza Arusha na Monaban ndio mbadala wake.