Nijuzeni kuhusu chuo cha Chimala nursing Mbeya

Nijuzeni kuhusu chuo cha Chimala nursing Mbeya

Joined
Aug 7, 2016
Posts
42
Reaction score
25
Habari wakuu..
Msaada kwa anayefahamu chuo cha nursing kinaitwa CHIMALA kipo MBEYA
kimesajiliwa na kinatambulika na serikali maana sina imani na vyuo hivi kuna mtu anataka kwenda kusoma huko.
msaada wenu wadau.
 
Habari wakuu..
Msaada kwa anayefahamu chuo cha nirsing kinaitwa CHIMALA kipo MBEYA
kimesajiliwa na kinatambulika na serikali maana sina imani na vyuo hivi kina mtu anataka kwenda kusoma huko.
msaada wenu wadau.

Labda kama kimesajiliwa hivi karibuni. Kilikuaga gaka!
 
Ndio kimesajiliwa. Kipo wilaya ya Mbarali kata ya Chimala. Ni njia panda kwenda Mbeya Mjini.
 
nursing 9months? sidhani kama kweli kinafanya vizuri kuna vyuo vingi sana vya nursing waweza chagua....kaskazini mara musoma na shinyanga kuna vyuo vizuri
 
nursing 9months? sidhani kama kweli kinafanya vizuri kuna vyuo vingi sana vya nursing waweza chagua....kaskazini mara musoma na shinyanga kuna vyuo vizuri
finacially am not even well... Labda nipmbe kama unajua list ya vyuo nyanda za juu kusini unaweza vitaja nifatilie
 
finacially am not even well... Labda nipmbe kama unajua list ya vyuo nyanda za juu kusini unaweza vitaja nifatilie
elimu bora ni muhimu sana kaka hapo ufundishaji sio,hata ma drs sio kwa hiyo masomo kwa vitendo ni changamoto......nasema kwani binamu zangu walisoma hapo
 
Mimi nimesoma hapo chimala ipo mizani mwazoni mwa mbeya kabla ya mbeya mjini 0765782511 nitafute wasap
mwanzo wa mbeya mjini ni chimala? your not serious......is almost 50miles
 
N
mwanzo wa mbeya mjini ni chimala? your not serious......is almost 50miles
Naomba uedit nifutie iyo no watu wananisumbua chuo chuo si waende huko huko sitaki tena maswali ya chuo cha chimala nitatukana mtu atakaenitafuta kuanzia sasa
 
Back
Top Bottom