nikolas digala
Member
- Aug 7, 2016
- 42
- 25
Habari wakuu..
Msaada kwa anayefahamu chuo cha nursing kinaitwa CHIMALA kipo MBEYA
kimesajiliwa na kinatambulika na serikali maana sina imani na vyuo hivi kuna mtu anataka kwenda kusoma huko.
msaada wenu wadau.

Msaada kwa anayefahamu chuo cha nursing kinaitwa CHIMALA kipo MBEYA
kimesajiliwa na kinatambulika na serikali maana sina imani na vyuo hivi kuna mtu anataka kwenda kusoma huko.
msaada wenu wadau.
