Nijuze kuhusu Biomedical engineering

Nijuze kuhusu Biomedical engineering

Crispin sam

Member
Joined
Oct 27, 2015
Posts
49
Reaction score
5
Jaman nataka kujua zaid kuhusu hii koz ya biomedical engineering
Inahusiana na nn na ajira zake zipo ???
 
Jaman nataka kujua zaid kuhusu hii koz ya biomedical engineering
Inahusiana na nn na ajira zake zipo ???
Ingia google kuna maelezo ya kutosha..
Ukisubiri watu waje wakupe maelezo hapa utakesha na watakukatisha tamaa wengine
 
Kwa kidogo nnachokijua ni kwamba biomedical engineering inahusika na ufundi wa vifaa vya maabara za mahospitalini kwa Tanzania inatolewa diploma tu na ipo DIT pekee

Kwa sasa ipo sokoni sana
 
Back
Top Bottom