Mh! Umenikumbusha wimbo wa Solo Thang:
Mambo ya Pwani yananichanganya,
Vitu flani wanavyofanya,
Mambo ya Pwani yananichanganya,
Vitu flani wanavyofanya,
Raha ya ubwabwa tandu,
Raha demu chachandu,
Utamu ukizidi sana sema bandu bandu,
Kuna walofata nyuki wakatokwa na manundu,
Waloitaka sukari wakaipata shubiri,
Ana hamu ana hamu lakini ana gundu,
Kalilia bakora kakutana na kirungu...