Night lazima serikali ya ccm itambue haya

Night lazima serikali ya ccm itambue haya

Joined
Jan 17, 2013
Posts
37
Reaction score
4
Serikali YA CCM inapaswa kujua na kutambua kua uhai wa mtanzania mmoja una thamani zaidi ya trillion za gesi huko Mtwara hivyo basi inatakiwa kwanza kulinda uhai wa watanzania na sio kuthamini gesi kufika Dar es saalam na kuacha uhai wa watanzania wa Mtwara ukipotea. Huu kwangu night ukatili wa wazi unaofanywa na serikali hii ya CCM inaoongozwa na JK Raisi ambaye watanzania walimuamini zaidi kua angewapa maisha bora kama ambavyo aliwaahidi awali. Muda bado upo Kwa serikali ya CCM kufuta madhambi yao waliyoyatenda Kwa taifa hili lakini kama hawatautumia Muda huu kufanya kitubio nina uhakika Kwa asilimia 100% kua wataujutia sana muda huu siku chache zijazo.
 
Serikali YA CCM inapaswa kujua na kutambua kua uhai wa mtanzania mmoja una thamani zaidi ya trillion za gesi huko Mtwara hivyo basi inatakiwa kwanza kulinda uhai wa watanzania na sio kuthamini gesi kufika Dar es saalam na kuacha uhai wa watanzania wa Mtwara ukipotea. Huu kwangu night ukatili wa wazi unaofanywa na serikali hii ya CCM inaoongozwa na JK Raisi ambaye watanzania walimuamini zaidi kua angewapa maisha bora kama ambavyo aliwaahidi awali. Muda bado upo Kwa serikali ya CCM kufuta madhambi yao waliyoyatenda Kwa taifa hili lakini kama hawatautumia Muda huu kufanya kitubio nina uhakika Kwa asilimia 100% kua wataujutia sana muda huu siku chache zijazo.

mkuu unamatatizo kama siyo ya kibiolojia basi ya kisaikorojia unawezaje kuwavumilia wahuni ambao wanafanya fujo na kupora mali za watu kwa kigezo ambacho hakipo,na ulivo wa ajabu hata hujawapa uahauri wale wote waliofanya fujo mtwara kwa kutumika na wanasiasa wehu,tunajua mnamikakati kabambe ya kushafua serikali lakini kwa taarifa yako hamtafanikiwa hayo mambo yapelekeni baviccha na kwenye vijiwe.
 
Back
Top Bottom