waafrika wengi ni nyumbu , na ukute hat hii michezo wanaifanya wazungu , kama waafrika wangekua wanajitambua wao wangedai huduma.za kijamii na sio kufurahia kufukuzwa kwa USA au Mfaransa , wkt hata hawakuwa wanawazuia kuleta huduma za kijamiiSasa atayala Uranium baada ya kuwafukuza France? Wakae nae meza moja waweke mkataba vizuri then anakuwa mteja wa kudumu.
Sema kwavile hatujui ya nyuma ya pazia, ukute Rais anamfukuza France alafu analeta kampuni yake kufanya hiyo kazi na kuiuzia France tena kwa bei ya chini...Duniani kuna figure sana.