Chakachuaneni tu kwanini ujitese ilhali umeshampenda? Yameshanikuta haya lakin alipotaka kuolewa ckumnyima na uhusiano we2 uliishia hapo kwa sababu wote tulijitambua hatuwez kuoana. Ponea hapo kwa muda wkt unatafuta wa kukuoa, kunoga ni lazima inoge ila ucpige kambi hapo maana haina muendelezo.