Nifanyeje nipate haki yangu

Nifanyeje nipate haki yangu

Omesk

Member
Joined
Jan 24, 2020
Posts
34
Reaction score
233
Habar za jumapil
Wapendwa samahan Kama nawachosha na maisha yangu binafsi naombeen mnisamehe nimapito tu ambayo ipo siku yatakua historia

Ipo hivi nimefanikisha kuachana na jamaa nimerudi nyumban changamoto iliyopo wakati ananioa nilihamia kwake na vitu vyangu
Kabati la nguo
Kabati la vyombo
Kitanda fut 5 na godoro
Dressing table
Stand ya viatu
Jiko la gesi mtungi mdogo japo halitumiki sababu nilikuta kanunua la plate 2
Saboufa
Tv ile ya chogo
Friji ndogo
Deki
Sofa za watu 2 zipo 2
Pamoja na vyombo vingi
Amekataa kunipa nimeenda kwa mwenyekiti kasema mi sijamfukuza Bado nampenda mke wangu naomba anisamehe
Binafsi sitaki tena
Niende wapi nikapate vitu vyangu??
Mi tulivyonunua pamoja sivitaki namwachia
Tulinunua kiwanja tulijenga msingi vyote namuachia
Mi nataka vile nilivyokuja navyo tu
Kadai kaweka walinzi kila Kona nikirudi siku nikibeba tu wanampigia cm
Nifanyeje jmn wapi naweza saidiwa??
Maana mwenyekiti nikama analeta habari za suluhu
 
Pole sana na matatizo wewe nenda ofisi ya ustawi wa jamii waambie shida yako alafu watamuita huyo jamaa na vitu vyako vyote utapata.... au nenda ofisi ya Kata waambie shida yako then watamuita na kuamuru arudishe vitu vyako.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habar za jumapil
Wapendwa samahan Kama nawachosha na maisha yangu binafsi naombeen mnisamehe nimapito tu ambayo ipo siku yatakua historia

Ipo hivi nimefanikisha kuachana na jamaa nimerudi nyumban changamoto iliyopo wakati ananioa nilihamia kwake na vitu vyangu
Kabati la nguo
Kabati la vyombo
Kitanda fut 5 na godoro
Dressing table
Stand ya viatu
Jiko la gesi mtungi mdogo japo halitumiki sababu nilikuta kanunua la plate 2
Saboufa
Tv ile ya chogo
Friji ndogo
Deki
Sofa za watu 2 zipo 2
Pamoja na vyombo vingi
Amekataa kunipa nimeenda kwa mwenyekiti kasema mi sijamfukuza Bado nampenda mke wangu naomba anisamehe
Binafsi sitaki tena
Niende wapi nikapate vitu vyangu??
Mi tulivyonunua pamoja sivitaki namwachia
Tulinunua kiwanja tulijenga msingi vyote namuachia
Mi nataka vile nilivyokuja navyo tu
Kadai kaweka walinzi kila Kona nikirudi siku nikibeba tu wanampigia cm
Nifanyeje jmn wapi naweza saidiwa??
Maana mwenyekiti nikama analeta habari za suluhu
Kuna ushahidi wowote kwamba ulivinunua wewe? Kwa mfano risiti za kununulia au watu waliowaona mnapoanza maisha na wakaona unahamishia vyombo kwake.
Kama hakuna, kunywa maji ulale. Hakuna njia ya kuvichomoa na hasa inapoonekana wewe ndo muomba kuachwa.
 
Pole kwa changamoto,ninaweza kukushauri yafuatayo:
1. Shirikisha ndugu wa pande zote mbili, wasimamizi wa ndoa na viongozi wa dini
2. Unaweza kwenda kwenye Ofisi ya ustawi iliyopo eneo unaloishi au tafuta msaada kwenye ofisi za Chama Cha wanasheria wanawake (TAWLA) au unaweza kwenda LHRC kama wanapatikana hapo ulipo.
 
Write your reply...umeona kwa mwenyekiti hakutoshi umeamua uje unitangaze humu nakwaambiaje vile vitu sivitoi mi bado sijakuacha na inahesabika tumechuma wote
 
Write your reply...umeona kwa mwenyekiti hakutoshi umeamua uje unitangaze humu nakwaambiaje vile vitu sivitoi mi bado sijakuacha na inahesabika tumechuma wote
Wewe ndio yule uliekua unagaragaza chini kwenye ile video? mleta uzi hamida alikumaliza

Naona umebaki na vitu vya hamida kama ukumbusho mkuu, safi sana na usilegeze Uzi haiwezekani akuache kwa style ile braza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio yule uliekua unagaragaza chini kwenye ile video? mleta uzi hamida alikumaliza

Naona umebaki na vitu vya hamida kama ukumbusho mkuu, safi sana na usilegeze Uzi haiwezekani akuache kwa style ile braza

Sent using Jamii Forums mobile app


huyu mwanamke ana matatizo sana miaka yote hiyo nimemvumilia na anaamua aniweke uchi huku jf sema mi nimeenda jando nimefunzwa sitaongea chochote


hamida rudi nyumban tuyaongeee hawa wenyewe unaowaomba ushauri wana matatizo chungu nzima
 
Habar za jumapil
Wapendwa samahan Kama nawachosha na maisha yangu binafsi naombeen mnisamehe nimapito tu ambayo ipo siku yatakua historia

Ipo hivi nimefanikisha kuachana na jamaa nimerudi nyumban changamoto iliyopo wakati ananioa nilihamia kwake na vitu vyangu
Kabati la nguo
Kabati la vyombo
Kitanda fut 5 na godoro
Dressing table
Stand ya viatu
Jiko la gesi mtungi mdogo japo halitumiki sababu nilikuta kanunua la plate 2
Saboufa
Tv ile ya chogo
Friji ndogo
Deki
Sofa za watu 2 zipo 2
Pamoja na vyombo vingi
Amekataa kunipa nimeenda kwa mwenyekiti kasema mi sijamfukuza Bado nampenda mke wangu naomba anisamehe
Binafsi sitaki tena
Niende wapi nikapate vitu vyangu??
Mi tulivyonunua pamoja sivitaki namwachia
Tulinunua kiwanja tulijenga msingi vyote namuachia
Mi nataka vile nilivyokuja navyo tu
Kadai kaweka walinzi kila Kona nikirudi siku nikibeba tu wanampigia cm
Nifanyeje jmn wapi naweza saidiwa??
Maana mwenyekiti nikama analeta habari za suluhu
We chukua gari ingia hapo pakia vitu vyako na uende na mashahidi haswa watu wazima na camera man/woman wa kurecord matukio
 
Vitu vinatafutwa achana navyo kama uliweza kupata utapata vingine vizuri zaidi lakini kama unaona huwezi kumuachia jifanye boya kwa mda kma kakushinda mtafutie timing siku ukienda nenda na watu wa kazi ndani ya nusu saa msha pakia mzigo kwenye gari unaondka faster

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar za jumapil
Wapendwa samahan Kama nawachosha na maisha yangu binafsi naombeen mnisamehe nimapito tu ambayo ipo siku yatakua historia

Ipo hivi nimefanikisha kuachana na jamaa nimerudi nyumban changamoto iliyopo wakati ananioa nilihamia kwake na vitu vyangu
Kabati la nguo
Kabati la vyombo
Kitanda fut 5 na godoro
Dressing table
Stand ya viatu
Jiko la gesi mtungi mdogo japo halitumiki sababu nilikuta kanunua la plate 2
Saboufa
Tv ile ya chogo
Friji ndogo
Deki
Sofa za watu 2 zipo 2
Pamoja na vyombo vingi
Amekataa kunipa nimeenda kwa mwenyekiti kasema mi sijamfukuza Bado nampenda mke wangu naomba anisamehe
Binafsi sitaki tena
Niende wapi nikapate vitu vyangu??
Mi tulivyonunua pamoja sivitaki namwachia
Tulinunua kiwanja tulijenga msingi vyote namuachia
Mi nataka vile nilivyokuja navyo tu
Kadai kaweka walinzi kila Kona nikirudi siku nikibeba tu wanampigia cm
Nifanyeje jmn wapi naweza saidiwa??
Maana mwenyekiti nikama analeta habari za suluhu
kwa pilato tuu.....kama kweli mlifunga NDOANO... na certficate mnayo......ila uwe na sbb za msingi, example....kuruka ukuta, mlevi/kahaba, kichapo kila kuchapo,uhanithi na ukichaa...wataongezea wengine.
 
Back
Top Bottom