Fundi mahiri wa Ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,714
- 3,651
Sinurakuchapa uchape wewe, kuchuja uchuje wewe, kitambi aote yeyeeee..... mateso iwe kwakooo...majanga.
kitambi kilijiotea tu......bila yeye kuingiza mkonga wake kule
kitambi kingeota tuuuuu
Fafanua zaidi juu ya haya maneno
1. Mkonga ninini?
2. kule ni wapi?
Hahahahaha kuna watu walipenda soda ya sprite na ikishafunguliwa tu hamu yooooote imeisha unaanza kutamani ndizi za kuchoma yaani unakuala kwa hisia, jamani mimba kazi sana. Sasa kijana jikaze ndo ukubwa huo ulidhani kuzaa lelemamahahahahhah jikaze baaaba!
we ulijua wazazi wanazokuwa wakali na watoto wao ni akili zao tu za wehu! enh!
kalete mishkaki huko!sasa ole wako uiweke kwenye foil wakati mi nataka iwekwe kwenye gazeti la sani!UTAJUTRAAAAAAAAAAAAA!
yaani unapigwa kisigino nundu inatokea kichwani hatariiiiiiiiii hii kitukitambi kilijiotea tu......bila yeye kuingiza mkonga wake kule
kitambi kingeota tuuuuu
yaani unapigwa kisigino nundu inatokea kichwani hatariiiiiiiiii hii kitu
mmmmmh best ya mayai na bata ninaweza kukubali lakini ya kupiga story usiku wa masaba na matisa hapana hiyo ni too much
Fafanua zaidi juu ya haya maneno
1. Mkonga ninini?
2. kule ni wapi?
hata kama but hari yazidi kuwa tete dah@ hapa muda huu kaniambia ety nimsimulie hadithi hili apate usingizi dah...
Kumpiga siwezi....kukimbia nyumba siwezi....kumwacha siwezi maana nampenda zaidi ya nafsi yangu...nabaki kuumia tu kiti changu ofisini ndokimegeuka kitanda changu....maana usiku silali nikilala cha moto nakiona ety nipige nae story usiku wa manane kweli?....nikichelewa kurudi hata dk.10 basi kanuna ....mala anataka kuku mara mayai ya bata ukimletea hataki kula aaaah ......haaah wanawake mtatuua na hizo mimba jamani@ nilikuwa nasimuliwa tu ss najionea kwangu so tired mimba gani hiyo inantesa hv....najuta kukupa mimba@
Kumpiga siwezi....kukimbia nyumba siwezi....kumwacha siwezi maana nampenda zaidi ya nafsi yangu...nabaki kuumia tu kiti changu ofisini ndokimegeuka kitanda changu....maana usiku silali nikilala cha moto nakiona ety nipige nae story usiku wa manane kweli?....nikichelewa kurudi hata dk.10 basi kanuna ....mala anataka kuku mara mayai ya bata ukimletea hataki kula aaaah ......haaah wanawake mtatuua na hizo mimba jamani@ nilikuwa nasimuliwa tu ss najionea kwangu so tired mimba gani hiyo inantesa hv....najuta kukupa mimba@