Nifanye nini ndugu zangu

wewe hebu soma achana na habari za kuunganisha vikojoleo
 

yaani nimesoma nikajikuta tu nacheka
kwanza uandishi mbovu then kisa hakieleweki vizuri.
Anyway umenifanya nianze ku imagine mazingira ya udom.
Humanities na Ng'ox labda ndo umbali unaosema wa buguruni na m/ mmoja.
 
Ukishamaliza chuo na GPA 2.1 ndo utajua raha ya kusoma chuo huku ukiwa na demu. All the best
 
afu UDOM hujasoma peke ako mkuu umekisifia weee kama nini sijui bai ze wasalimie ng'ong'ona afu demu humanities hahahaaaaaa si bure ndio ulipo ryt now
 
afu UDOM hujasoma peke ako mkuu umekisifia weee kama nini sijui bai ze wasalimie ng'ong'ona afu demu humanities hahahaaaaaa si bure ndio ulipo ryt now
Poa ntawasalimia hadi kijijini kwa wajasi
 
yaani nimesoma nikajikuta tu nacheka
kwanza uandishi mbovu then kisa hakieleweki vizuri.
Anyway umenifanya nianze ku imagine mazingira ya udom.
Humanities na Ng'ox labda ndo umbali unaosema wa buguruni na m/ mmoja.

Mkuu ulitaka niandike vipi kwa lugha ya kwetu mtu kama wewe tunakuita mdashi,
 
Usiwe king'ang'anizi wewe kama amekutolea nje mpotezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…