Jaman nsaidien mm nmechaguliwa Chuo cha NIT na UDOM lkn mm nataka kuenda NIT, sasa kweny multiple selection ya NIT silo unafanyaje hapo aicee, kwa anaefaham plz msaada wako...
Kwenye acount yako una message kwamba umepata chuo? Angalia vizuri majina na details zote, reg no form four & six. Unaweza ukakuta ni majina yamefanana ukawa unashoia na nit yako.