BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
So sad tena kwa 5000
Nini kinafanyika mnakaa mstari wale wanaosajili baada ya kuweka dole gumba wanakwambia mtandao uko down ukikaa sana unaondoka inatengenezwa line safi inakaa pemben
Hako kamchezo wanaweza fanyia watu kumi +/pday na n.kibanda kimo1 tu
Mmsishangae vibanda vya kusajili vimeongezeka ghafla watu wako kazinii
Hapo ndipo wanaanza kuwapiga watu kwa buku tano
Ukijisajili ukaweka dole gumba ndugu kaikikisha unaondoka na line yako.
Nini kinafanyika mnakaa mstari wale wanaosajili baada ya kuweka dole gumba wanakwambia mtandao uko down ukikaa sana unaondoka inatengenezwa line safi inakaa pemben
Hako kamchezo wanaweza fanyia watu kumi +/pday na n.kibanda kimo1 tu
Mmsishangae vibanda vya kusajili vimeongezeka ghafla watu wako kazinii
Hapo ndipo wanaanza kuwapiga watu kwa buku tano
Ukijisajili ukaweka dole gumba ndugu kaikikisha unaondoka na line yako.