NIDA na Polisi kagueni vibanda vyote vinavyouza au kusajili line Kawe mtakutana na maajabu

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
So sad tena kwa 5000

Nini kinafanyika mnakaa mstari wale wanaosajili baada ya kuweka dole gumba wanakwambia mtandao uko down ukikaa sana unaondoka inatengenezwa line safi inakaa pemben

Hako kamchezo wanaweza fanyia watu kumi +/pday na n.kibanda kimo1 tu

Mmsishangae vibanda vya kusajili vimeongezeka ghafla watu wako kazinii

Hapo ndipo wanaanza kuwapiga watu kwa buku tano

Ukijisajili ukaweka dole gumba ndugu kaikikisha unaondoka na line yako.
 
So sad tena kwa 5000

Nini kinafanyika mnakaa mstari wale wanaosajili baada ya kuweka dole gumba wanakwambia mtandao uko down ukikaa sana unaondoka inatengenezwa line safi inakaa pemben

Hako kamchezo wanaweza fanyia watu kumi +/pday na n.kibanda kimo1 tu

Mmsishangae vibanda vya kusajili vimeongezeka ghafla watu wako kazinii

Hapo ndipo wanaanza kuwapiga watu kwa buku tano

Ukijisajili ukaweka dole gumba ndugu kaikikisha unaondoka na line yako.
nimeona kuna ka menu kapya ka kuangalia namba ambazo zimesajiliwa kwa majina yako..na naona kuna uwezekano wa kufuta usajil.....i think problem solved
 
System imekuwa updated saivi unaweza kujua namba ya nida imesajili laini ngapi na izo namba ukaziona na pia option ya kufuta usajili iko mbioni wiki ijayo itakuwa launched
 
Hapa ndipo napoelewa kwa nini wanataka watu wasajili line moja tu kwa kila mwenye utambulisho wa nida
 
nimeona kuna ka menu kapya ka kuangalia namba ambazo zimesajiliwa kwa majina yako..na naona kuna uwezekano wa kufuta usajil.....i think problem solved
WANANCHI WA KAWE WANALAANI ACHA HAKO KAMENU MPWAA BALAAA WATU WASHAPIGWA SANA 5000/10000 NA JAMAA WAMEONDOKA BAADA YA KUTANGAZA HAKO KATANGAZO IMEKULA KWAOO
 
Back
Top Bottom