Nichague kozi gani.!!!!!!.????

Subiri matokeo kwanza yatoke.
 
Kama unatokea familia ya kawaida, soma

Bachelor of education with ICT ( Teaching subjects: GL )

Hutojuta - Thank me later !
Hivi unaweza kusoma ICT bila kusoma science advance?
 
Hivi unaweza kusoma ICT bila kusoma science advance?
Huwezi kusoma Computer Science au Computer Engineering bila kusoma sayansi ila kwa ICT hata arts wanasoma.

CASE STUDY: Rafiki yangu alisoma HGL ila kahitimu UDOM, Bsc with ICT ( Class of 2015 ).
 
Akhsante.. Nashukuru sir.
Naomba kikuulize mdogo wangu ...hapo kabla ulitamani kuwa MTU wa aina gani kama ukishakuwa MTU mzima...maana naamini ndoto za maisha ya kufanikiwa huanza mbali ...ili tukushauli vizuri taja vipao mbele vyako kwanza katika taaluma.....nasi tukusaidie...
 
Subiri matokeo yatoke then yakupe mwanga wa kuchagua..na pia wewe mwenyewe unataka kusoma nini.? Its better ukachagua kitu unachokipenda rather than depending on other people's selection.
 
  1. Law
  2. Mass Communication
  3. Social Works
All the best japo swali lako lina ukakasi kidogo hasa unapouliza uchague Faculty gani kwani nadhani ulitakiwa uulize unataka kufanya Kozi gani.
 
Kasome sheria: History na Language vinakuongoza
 
Ina maana ulikuwa huna malengo kabisa tangu ukiwa upo shule???? Interesting



FORM 6 KWENYE UBORA WAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…