Nianze kununua kipi?

Kila mtu anakipaumbele chake kijana,. ila angalia mshiko wako ukoje, kwangu mimi naona kununua usafiri ni cheap, kuliko kujenga, kiwanja dar vinaanzia 8 million na am sure utajenga for years, kiwanja utachonunua kitakaa tuu, labda kama unazo za kutosha au una uhakika wa kupata fedha za kuweza kujenga mapema. for me nunua gari if u have little money, then baadae nunua kiwanja na uendelee kujenga. watu bado wana mitazamo ya zamani ya kujenga wakati enzi hizo ujenzi was cheaper than kununua gari. Vitz inasave sana mafuta, so ruuning cost will be cheap.

I second you! Mimi nilinunua kwanza kiwanja, then gari, then nikaja kujenga somewhere else! Kile kiwanja hata sijaenda miaka 3 sasa !!!
 
hapa ndo watakuchezesha hyo akili yako na hutopata kabias konklushen.we ushasema kabisa kua ni mata ya priority.hilo ndo jibu.
 
Wana JF siku ndo znaendelea kuyoyoma namna iyo..vp manthly plan yako ya januar.tayar!?..sio ishu!nina utata apa,naish dsm ni kijana mwenye ajira sekta binafs tangu june last yr..kipato changu around 1.2M take home...nimepanga,nafkria kununua japo kavitz kanskot tabu za daladala na jua,wakongwe wanashaur ninunue kiwanja nijenge kwnz...nimestak,pia wazaz wanantegemea...ebu wakongwe wa jf nijuzeni kijana mie maana mi naona its a mater of prioritization tuu...au...!

nunua kiwanja kwanza ujenge. Unataka hilo gari ulilaze kwa jirani?
Mafuta na services zitapunguza pato lako.
Ushafikiria umenunua gari leo kesho limepata ajali? Kwa pesa ya mawazo usikimbilie hivyo vitu.
 
kama upo dar,,, gari ni lamuhimu kwanza,,, gari unaweza kupata kwa bei ndogo,, but kiwanja cha maana kwa sasa lazima ujipange kikweli,
 
Back
Top Bottom