Ni wapi nitapata Mabaro ya Mtumba kwa bei ya jumla?

Ni wapi nitapata Mabaro ya Mtumba kwa bei ya jumla?

chaudere

Member
Joined
Jun 21, 2012
Posts
24
Reaction score
0
Habari wana jamvi...naulizia wanapouza mabaro ya mitumba kwa bei ya jumla kwa dar es salaam. yeyote mwenye kufahamu anijuze tafadhali.natanguliza shukrani.
 
kariakoo na mnazi mmoja wapo kibao
 
nenda kitumbini/mnazi mmoja-maduka nyuma ya maduka ya vitenge, au ukifika maeneo hayo (karibu na makutano yenye taa) uliza wanaofanya biashara hapo utaelekezwa, utapata zaidi ya maduka 50.
 
Back
Top Bottom