Habari wana jamvi...naulizia wanapouza mabaro ya mitumba kwa bei ya jumla kwa dar es salaam. yeyote mwenye kufahamu anijuze tafadhali.natanguliza shukrani.
nenda kitumbini/mnazi mmoja-maduka nyuma ya maduka ya vitenge, au ukifika maeneo hayo (karibu na makutano yenye taa) uliza wanaofanya biashara hapo utaelekezwa, utapata zaidi ya maduka 50.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.