Tangu kusikika kwa ujumbe wa Sauti unaodhaniwa kuwa ni sauti ya kiongozi Wa kanisa la ufufuo na uzima askofu Gwajima kuna sintofahamu imetanda.
Polisi wanamsaka askofu Huyo atoe Maelezo kuhusu sauti hiyo inayodaiwa kuwa ya uchochezi bila mafanikio!
nimeipenda hiyo,,,eti SAUTI ILIYODHANIWA