Ni wapenzi na ndugu yake...

Ni wapenzi na ndugu yake...

nuriat

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
19
Reaction score
1
Wakuu,

Kuna msichana yupo njia panda. Ana umri wa miaka 23. Ana mpenzi wake ambaye wana undugu pia. Dada yake huyu msichana kaolewa na anko wa huyo mpenzi wake. Wanapendana kwa dhati na hayo mahusiano ni ya siri sana, ila kuna baadhi ya nugu zake msichana huyo wamegundua na hawakubaliani na hayo mahusiano.

Tatizo linakuja kuwa huyo msichana anampenda sana na wana mipango kabisa ya kufunga ndoa.

Naomba ushauri kwenu wadau la kufanya kwa hao wachumba. Suala lenyewe ni kwua huyo msichana hakubaliki upande wa huyo mpenzi wake na hali huyo mpenzi wake anakubalika kwao. Ushauri tafadhali.

Nawasilisha.
 
waendelee kugegedana bila kufunga ndoa....simple as that
 
Wakuu,

Kuna
msichana yupo njia panda. Ana umri wa miaka 23. Ana mpenzi wake
ambaye wana undugu pia. Dada yake huyu msichana kaolewa na anko wa huyo
mpenzi wake. Wanapendana kwa dhati na hayo mahusiano ni ya siri sana,
ila kuna baadhi ya nugu zake msichana huyo wamegundua na hawakubaliani
na hayo mahusiano.

Tatizo linakuja kuwa huyo msichana anampenda sana na wana mipango kabisa
ya kufunga ndoa.

Naomba ushauri kwenu wadau la kufanya kwa hao wachumba. Suala lenyewe ni
kwua huyo msichana hakubaliki upande wa huyo mpenzi wake na hali huyo
mpenzi wake anakubalika kwao. Ushauri tafadhali.

Nawasilisha.

hapo ndio mimi huwa nashangaa kuwa na undugu eti kisa dada kaolewa huko
mi naona si sawa na hakuna undugu basi tu mila zetu ndio zitatufunga ila kiuhalisia hakuna undugu unaokuwepo.
 
Back
Top Bottom